KIFARU
Senior Member
- Apr 6, 2009
- 172
- 14
kama huwezi kumsaidia kwa wakati huo urafiki unakufa? huo sio urafiki! inaweza kutokea mtu ukawa na rafiki wa karibu sana kuliko hata ndugu yako, mpo pamoja kwenye shida na raha, kusaidiana pale panapohitajika na mambo mengineyo, kwenye maisha kuna misuko suko mingi kuna wakati unahitaji mtu/rafki wa karibu sana wa kuweza kushauriana nae! hapo sasa ndio mtu ucpokuwa na umakini wa kuchagua ma frnds mtaishia kuleteana uswahili kila kukicha.
sawa nyama yao nimekuelewa,au labda mantiki yako sijaielewa vizuri,kwa hiyo unaitimisha kua hakuna urafiki bila msaada?