Icadon
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 3,581
- 183
mhhhhh acheni fiksi nyie watu
Babu na wewe ni mmoja wa wale wanaoamini kuwa mwanaume na mwanamke wakiingia chumbani basi wanakwenda kutenda tendo la ndoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mhhhhh acheni fiksi nyie watu
hii goal mbona pas de probleme alafu inaweza isitekelezeke maisha haya bora niwe kama nilivyo.....nitakutafutia wapi wakati hata PM zangu huzijibu....Hakika hiyo goal utazidi isogeza mpaka uzeeke halafu watu wakushangae eti mechi uzeeni!.. ha ha
Nitafute mpaka unione, usije kuwa unachat na njemba bure!.Uchanganyikiwe
aaaah mzee mzima siamini kila wakati lakini mhhhhh mihemko mkuu na labda hujakutana na figa figali ambazo kila wakati unazitamani......Babu na wewe ni mmoja wa wale wanaoamini kuwa mwanaume na mwanamke wakiingia chumbani basi wanakwenda kutenda tendo la ndoa?
Nimeshawahi kuwa na best friend mwanaume, si unajua maana ya best friend! Tunashare stories,kusaidiana kimawazo/kiuwezo,kuwa partners kwenye hafla mbalimbali kama weddings maana tupo single wote na outingz zingine muda mwingine ila kila mtu alikuwa na mpenzi wake. Guess where we ended....
..ila we are still best friends mpaka sasa!..No harm
Hebu nambie Belinda, nani aliyeanza uchokozi mpaka mkaishia *****? hivi sasa unajisikiaje kushindwa kwenu, mpaka ikabidi kuvuka msitari toka urafiki -mapenzi -urafiki?
Mangi, hakuna lisilowezekana,...
nishapiga mbonji chumba kimoja na rafiki yangu (demu), tena si mara moja wala mara mbili bila 'kudandiana'. hata paleanapokuwa keshakolewa na 'togwa', nilichukulia kuwa ni responsibility yangu kum care mpaka atapokuwa sober.
Kujizuia ni ushindi mkubwa kuliko kuvunja urafiki kwa 'fataki' ya dakika chache, ...na mpaka leo 'demu' ananipa 100/100 ya uaminifu!
Usinichekeshe mbu!..siwezi kumsingizia wala kujisingizia maana tulitokea kupata mhemko fulani kwa kilichotokea na hamna aliyemlaumu mwenzie japo haikuwa dhamira ya best friends kufikia hapo..
Kushindwa kwetu najisikia vibaya kiaina pia things will never be the same kama vile kuwa huru kutoa stori fulani japo urafiki hauishi. Halafu kwasasa kuna distance,so ni mawasiliano tu!..
Mbu, kama ni kweli uko vizuri na you are really a man! Uanaume si kulala-lala hovyo na wanawake; uanauke si kulala-lala hovyo na wanaume; sifa kuu ya mwanamume/mke ni kuweza kujistahi na kuji-control na kushinda tamaa zako na si kuwaka tamaa kila unapomuona mwanamke/mwanaume.
Urafiki ni uaminifu na kuchukuliana, kusaidiana, na kutiana moyo na si ku-take advantage over your opposite sex friend ati kwa uwa ana matatizo au yuko single!
mapenzi ya kweli,huanza na URAFIKI!uzoefu umethibitisha kwamba wapenzi ambao before WALIKUWA MARAFIKI wana possibility kubwa sana ya kudumu kwa muda mrefu,ikibidi hata kuoana...
Hapa tunapiga soga tu na kuburudishana. Ukweli ni kuwa urafiki wa kwenda deep hivyo, kushare issues; matatizo, furaha, etc.... Unfortunately sex is one of those to be shared...
ukweli ni kwamba urafiki utakuwepo ila ni wa mashaka na wa upande mmoja, yaani kama mwanaume atamchukulia mwanamke kama rafiki, kwa mwanamke sivyo, & vice versa. Ni sawa na urafiki kati ya chui na kondoo. lazima kuvutiwa kutakuwepo ila mmoja atashindwa kusema kutokana na sababu flani flani, ila urafiki hakuna, aisee!
Usinichekeshe mbu!..siwezi kumsingizia wala kujisingizia maana tulitokea kupata mhemko fulani kwa kilichotokea na hamna aliyemlaumu mwenzie japo haikuwa dhamira ya best friends kufikia hapo..
Kushindwa kwetu najisikia vibaya kiaina pia things will never be the same kama vile kuwa huru kutoa stori fulani japo urafiki hauishi. Halafu kwasasa kuna distance,so ni mawasiliano tu!..
I like the open way you discuss issues.
urafiki wa mwanamke na mwanaume hauwezekani, huwezi weka chuma na sumaku karibu kisha zisikamatane, nakumbuka nilijaribu kufanya hivyo ikashindikana ikawa kila rafiki yangu nam-mega, tatizo linakua jinsi rafiki(wa ukweli zaidi) yako anavyochukulia matatizo yako kwa umakini hata kama ni wa jinsia moja ndivyo apasavyo mwandani wako kufanya hivyo, unavyomuelezea rafiki wa jinsia tofauti tatizo na anavyolichukua kwa huruma unaona kwa nini asiwe huyu? watu hawafahamu lakini nguzo kubwa ya upendo ni huruma, huwezi kua ndani na mtu asiye na huruma kisha rafiki yako anahurum ukamwache inakua ngumu kumeza mazee
urafiki wa mwanamke na mwanaume hauwezekani, huwezi weka chuma na sumaku karibu kisha zisikamatane, nakumbuka nilijaribu kufanya hivyo ikashindikana ikawa kila rafiki yangu nam-mega, tatizo linakua jinsi rafiki(wa ukweli zaidi) yako anavyochukulia matatizo yako kwa umakini hata kama ni wa jinsia moja ndivyo apasavyo mwandani wako kufanya hivyo, unavyomuelezea rafiki wa jinsia tofauti tatizo na anavyolichukua kwa huruma unaona kwa nini asiwe huyu? watu hawafahamu lakini nguzo kubwa ya upendo ni huruma, huwezi kua ndani na mtu asiye na huruma kisha rafiki yako anahurum ukamwache inakua ngumu kumeza mazee
Umemaliza kila kitu!
Mangi, hakuna lisilowezekana,...
nishapiga mbonji chumba kimoja na rafiki yangu (demu), tena si mara moja wala mara mbili bila 'kudandiana'. hata paleanapokuwa keshakolewa na 'togwa', nilichukulia kuwa ni responsibility yangu kum care mpaka atapokuwa sober.
Kujizuia ni ushindi mkubwa kuliko kuvunja urafiki kwa 'fataki' ya dakika chache, ...na mpaka leo 'demu' ananipa 100/100 ya uaminifu!
urafiki wa mwanamke na mwanaume hauwezekani, huwezi weka chuma na sumaku karibu kisha zisikamatane, nakumbuka nilijaribu kufanya hivyo ikashindikana ikawa kila rafiki yangu nam-mega, tatizo linakua jinsi rafiki(wa ukweli zaidi) yako anavyochukulia matatizo yako kwa umakini hata kama ni wa jinsia moja ndivyo apasavyo mwandani wako kufanya hivyo, unavyomuelezea rafiki wa jinsia tofauti tatizo na anavyolichukua kwa huruma unaona kwa nini asiwe huyu? watu hawafahamu lakini nguzo kubwa ya upendo ni huruma, huwezi kua ndani na mtu asiye na huruma kisha rafiki yako anahurum ukamwache inakua ngumu kumeza mazee