Can I switch from Windows 7 Ultimate to Windows XP professional???

wende

JF-Expert Member
Sep 6, 2009
714
65
Hi all,
Please naomba msaada wa hali na mali;
Je nawezaje kubadili OS ya my laptop ya Windows 7 Ultimate kwenda/kurudi Windows XP Professional?

N.B
Originall this Toshiba laptop came with Windows XP Professional. Laptop hii ilikuja ku-collase on daily normal use and after repairing, Fundi alii-upgrade to Window 7 Ultimate.

I want to go back to my windows XP maana hii version ya windows 7 ni balaa tupu!
So, how far can I go through?
Niko mbali na fundi aliye-repair my laptop na sina mawasiliano naye.

Ahsanteni!
 
Hi all,
Please naomba msaada wa hali na mali;
Je nawezaje kubadili OS ya my laptop ya Windows 7 Ultimate kwenda/kurudi Windows XP Professional?

N.B
Originall this Toshiba laptop came with Windows XP Professional. Laptop hii ilikuja ku-collase on daily normal use and after repairing, Fundi alii-upgrade to Window 7 Ultimate.

I want to go back to my windows XP maana hii version ya windows 7 ni balaa tupu!
So, how far can I go through?
Niko mbali na fundi aliye-repair my laptop na sina mawasiliano naye.

Ahsanteni!

Windows haina njia rahisi (GUI)a kukuwezsha ku downgrade kirahisi. Facility zilizopo ni za ku -ugrade.

Ku downgrage kurudi kwenye windows XP Just save data zako Format mashine then kisha fanya fresh installation. Utahitaji Bootable CD/DVD ya XP .Au Kama huna utaalaamna huna mudawa kufanya mwenyewena huna CD tafuta fundi mwingine akufanyie fasta.

BTN

Hiyo version ya windows 7 ina balaa gani ?
 
Windows haina njia rahisi (GUI)a kukuwezsha ku downgrade kirahisi. Facility zilizopo ni za ku -ugrade.

Ku downgrage kurudi kwenye windows XP Just save data zako Format mashine then kisha fanya fresh installation. Utahitaji Bootable CD/DVD ya XP .Au Kama huna utaalaamna huna mudawa kufanya mwenyewena huna CD tafuta fundi mwingine akufanyie fasta.


BTN

Hiyo version ya windows 7 ina balaa gani ?

Ahsante sana zing,kwa mwongozo wako mzuri! Hii win7 ina features ambazo mi binafsi zinanishinda kabisa kuzitumia.
 
Mkuu kama hutajali, unasababu zozote za msingi kutaka kwenda XP?

Binafsi siku shauri kabisaaaaaa.....................ulimwengu wa teknolojia unasonga mbele wewe unarudi nyuma....

Kama unatatizo na Win7 bora uulize usaidiwe jinsi ya kufanya
, imebaki miaka michache Microsoft waipige chini kabisa kuisapoti win XP
 
Not bad kama hauko comfortable na Windows 7.Unajua hata microsoft wameongeza support ya XP mpaka 2014.ikifika 2014 then utakuwa huna jinsi maybe itabidi uhamie Windows 8. So ichomoe tu haya mambo sometime watu wanakosea kwa kwenda na "fashion".

We should always upgrade when its necessary and required not because Microsoft or apple have released their new prodct in the market and are promoting it

Mkuu kama hutajali, unasababu zozote za msingi kutaka kwenda XP?

Binafsi siku shauri kabisaaaaaa.....................ulimwengu wa teknolojia unasonga mbele wewe unarudi nyuma....

Kama unatatizo na Win7 bora uulize usaidiwe jinsi ya kufanya
, imebaki miaka michache Microsoft waipige chini kabisa kuisapoti win XP


Ingekuwani Window Vista ningekubalina na wewa lakini kwa XP hata microsoft wenyewe wanajua ndio maana wameongeza Support yake.Hiyo Windows 7 yenyewe waliwai kuitoa JIkoni baada ya Vista kuchemka.

Unjaua kwenye IT watu tunakosea sana tunapoafuta teknolojia ya kutatua tatizo baala ya tatizo ndio liamue teknolojia gani itumike. Wengine wameaminsihwa kompyuta ikitumika miaka miwili infaa kutupwa. Basi huko serikalini ndio kila ikittoka OS mpya zinanunuliwa PC mpya . .....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom