Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Nakumbuka niliwahi kusema kwenye Post yangu ya kwanini tumeamka sasa na sio simetime before kwamba tunahitaji rais anayemjua mungu na kumtegema mungu katika uongozi wake, anayejua kulitumikia taifa ipasavyo sio kuwapa mafisadi kama ilivyo sasa.
kutokana na kauli yangu ya MWENYE KUMCHA MUNGU NDIO NAANDIKA LEO NA KUHOJI VP KUHUSU KUANGUKA KWA RAIS JE.
kutokana na kauli yangu ya MWENYE KUMCHA MUNGU NDIO NAANDIKA LEO NA KUHOJI VP KUHUSU KUANGUKA KWA RAIS JE.
- ni kweli kuwa swaumu ilikuw imembana
- je ni kweli anaumwa
- je nguvu za giza anazotumia
- najua wengi mtasema ni swaumu mimi nakataaa
- alijua kuwa anakibarua kigumu cha kampeni angeweza akafungulia kama laivyodai kufanya baada ya kuanguka
- LAKINI PIA NINA SWALI KAMA NI SWAUMU KWANINI KABLA YA KUANGUKA ALISEMA AISEE NDIO AKAKATA NETWORK KAMA SIO ALIONA NGUVU ZA MUNGU ZIKIMSUTA KUMBUKA UWANJA WA JANGWANI UMEWEKWA WAKFU NA NENO LA MUNGU HATUTAKI UCHAFU PALE
MUNGU IBARIKI TANZANIA