comp
Member
- Aug 18, 2010
- 24
- 0
Waungwana niko Mtwara leo, na kama nusu saa iliopita nikiwa kituoni nasubiri dala dala niendelee na mizunguko yangu, yamepita maroli yanawarudisha wana CCM majumbani mwao, kutoka kwenye campaign.
Katika kampaign hizo ambazo sikupata bahati ya kuhudhuria ninaambiwa kulikuwa na kikundi cha ze comedy katika kuongeza idadi ya wahudhuriaji.
Point kubwa iliyonifanya nilaunch hii thread ni usalama wa hawa watu wanaojazwa kwenye haya maroli.
Usalama wao unaangaliwa kwa umakini kweli hasa ukizingatia yale magari hayajawa designed kubeba watu? Pia nataka mnisadie kujua kama sheria inaruhusu kujaza watu vile kwenye maroli?
Naombeni wana JF tuliangalie hili limekaaje hasa ukizingatia kipindi hichi tumekuwa tukiripotiwa habari nyingi sana zinazohusu ajali za barabarani hapa TZ.
Katika kampaign hizo ambazo sikupata bahati ya kuhudhuria ninaambiwa kulikuwa na kikundi cha ze comedy katika kuongeza idadi ya wahudhuriaji.
Point kubwa iliyonifanya nilaunch hii thread ni usalama wa hawa watu wanaojazwa kwenye haya maroli.
Usalama wao unaangaliwa kwa umakini kweli hasa ukizingatia yale magari hayajawa designed kubeba watu? Pia nataka mnisadie kujua kama sheria inaruhusu kujaza watu vile kwenye maroli?
Naombeni wana JF tuliangalie hili limekaaje hasa ukizingatia kipindi hichi tumekuwa tukiripotiwa habari nyingi sana zinazohusu ajali za barabarani hapa TZ.