Elections 2010 Campaign ads

Hey dude I was thinking on the same, hasa the ads kwa maneno yao wenyewe kama jamaa zako wa faux (In their own words).............. Mfano ni hiyo ya kura za wafanyakazi, Tambwe akitokea anapigwa na ile ya akihamia CCM alale na mama yake, Makamba akionekana tu anapigwa na zile gaffes zake alipokuwa natetea mafisadi.

The simplest one could be haya masuala ya shule......... Ukitoka nje ya Dar just some 50kms kuna shule kwenye jimbo la muungwana zimeezekwa nyasi, hazina vyoo wala madirisha......... Sasa kama huyu jamaa alikuwa mbunge huko for more than 15yrs, Waziri na pia raisi kwa miaka mitano hizo shule anazosema na kutamba wamejenga ziko wapi?

Kuna ile ya muungwana kumpa hela mtoto mdogo, unamuibulia picha ya watoto ombaomba hapo Dar na kuuliza amefanya nini for the last five yrs kutatua tatizo hilo.

Unampiga na nyingine kwa style ya faux, kama mwenyekiti ameanguka hadharani zaidi ya mara tatu je si wakati muafaka watanzania kuelezwa ukweli kuhusu afya ya mgombea wa CCM? uNACHOMBEZA NA mAKAMBA KUSEMA NI sWAUMU halafu baadae Kinana kusema upungufu wa sukari.

They are just endless.

Ofcourse hata kama TV na redio wanadengua kurusha matangazo haya YouTube can do us better in the beginning

pia iwepo ambayo mtu anaweza kudownload na kushare na wengine kupitia simu na laptop, si unajua sio wote wana-access na internet na hata wenye access interest zao wengine ni ndogo kwenye kutafuta vitu kama hivyo ila ikiwa kwenye simu simple watu inakuwa ringtone!
 
Ngabu
Sidhani kama watakosa matangazo, ila dubwasha limeshachukua almost mitaa yote jijini kwa matangazo yao, unadhani CHADEMA wataonekana kweli bila hata billboard moja?

Hiyo midubwana mitaa wachukue roho zetu watuachie. Tumeshayaweka rohoni
 
msifikirie kimarekani sana, fikirieni hali halisi ya bongo

swali la kujiuliza je chadema budget yake ni kiasi gani????

ccm budget yake ni 50bn. magari, pikipiki na mabango viko ndani ya uwezo wao

chadema budget yao ni 5bn, not sure. kama mnategemea kuona mabango kama ya ccm mtakuwa dissapointed, chadema simply cant afford.
budget ya chadema inawatosha kufanya mikutano ya hadhara na si matangazo. kinachoitajika ni wao kuandikwa sana na magazeti na kupata media coverage
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom