Mkulima mimi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2009
- 233
- 31
Hey dude I was thinking on the same, hasa the ads kwa maneno yao wenyewe kama jamaa zako wa faux (In their own words).............. Mfano ni hiyo ya kura za wafanyakazi, Tambwe akitokea anapigwa na ile ya akihamia CCM alale na mama yake, Makamba akionekana tu anapigwa na zile gaffes zake alipokuwa natetea mafisadi.
The simplest one could be haya masuala ya shule......... Ukitoka nje ya Dar just some 50kms kuna shule kwenye jimbo la muungwana zimeezekwa nyasi, hazina vyoo wala madirisha......... Sasa kama huyu jamaa alikuwa mbunge huko for more than 15yrs, Waziri na pia raisi kwa miaka mitano hizo shule anazosema na kutamba wamejenga ziko wapi?
Kuna ile ya muungwana kumpa hela mtoto mdogo, unamuibulia picha ya watoto ombaomba hapo Dar na kuuliza amefanya nini for the last five yrs kutatua tatizo hilo.
Unampiga na nyingine kwa style ya faux, kama mwenyekiti ameanguka hadharani zaidi ya mara tatu je si wakati muafaka watanzania kuelezwa ukweli kuhusu afya ya mgombea wa CCM? uNACHOMBEZA NA mAKAMBA KUSEMA NI sWAUMU halafu baadae Kinana kusema upungufu wa sukari.
They are just endless.
Ofcourse hata kama TV na redio wanadengua kurusha matangazo haya YouTube can do us better in the beginning
pia iwepo ambayo mtu anaweza kudownload na kushare na wengine kupitia simu na laptop, si unajua sio wote wana-access na internet na hata wenye access interest zao wengine ni ndogo kwenye kutafuta vitu kama hivyo ila ikiwa kwenye simu simple watu inakuwa ringtone!