Camera iliyoyotumika kwenye movie ya APOCALYPTO

mdogo wangu Excellent, haya usicompee kabisa tena hapo kwenye teknolojia angalia tu mambo ya kawaida ambayo hayaitaj technonogy kama usafi wa mazingira mtu tu kutupa karatasi ama chupa ya maji popote pale ni kawaida na hapo hapahitaji wala utaalam kama ho.nafikir ishu ni mental equip
Kuna miji ya ulaya michafu, asikwambie mtu. pamoja na urahisi wa manispaa wa kuzoa taka, unakuta kuna kitu hakijakaa sawa, mji umejaa taka kila kona. Mfano mdogo tu ni mji wa newyork ambapo rat population = 4 times human population. pata picha hapo (Rats in New York City - Wikipedia, the free encyclopedia). But you got a point, it was just a wrong example I think.
 
Kuna miji ya ulaya michafu, asikwambie mtu. pamoja na urahisi wa manispaa wa kuzoa taka, unakuta kuna kitu hakijakaa sawa, mji umejaa taka kila kona. Mfano mdogo tu ni mji wa newyork ambapo rat population = 4 times human population. pata picha hapo (Rats in New York City - Wikipedia, the free encyclopedia). But you got a point, it was just a wrong example I think.


lakini pia uchafu wa miji ya ulaya huwez kulingansha na hapa kwetu mkuu manak wao maeneo machafu ni machache kuliko sisi ya kwetu masafi. ila pia umeshasema ni mfano mbaya so tuyaache hayo lakini je tuendelee kuish wachafu kiasi hiki kisa ulaya ni wachafu? nimewah fika india, labda kwakua ni nchi ya bara la asia sijui duniani kama kuna nchi chafu kama india ambayo hata kunya wana kunya njian na ni kawaida huku watu tukijistiri kwa toilet wenzetu ni kwenye mitaro tu tena pasi kujali kama kunawanapita na kuwaona sasa nilijiulia mbona maika fulan tajiri wa kwanza dunian alitoka huko india? na pia mbona ndio afanyabiashara wazuri sana? na pia ndiko madaktari walipo huko?

nilikuja kupata majibu kwamba most of diseases zilianzia huko kwao kwasababua ya mlipuko wa uchafu and this iliamsha nia ya kila mtu kutaka kusoma udaktari na ufamasia ili kuweza kutatua na ndio maana wafanyabiashara wakubwa wa maviwanda ya madawa ni india but despite all those efforts bado watu ni wachafu na haweelimishwi juu ya kujipenda sasa mazingira kama hayo hadi na tech itumike?

ndio maana nitarudia kusema kwamba, kwa tanzania ni mind set tu tukibadilika hapo basi ingawa kwa wenzetu wahind uchafu ni tabia yao ambayo hawawez kuacha, nchi asbh unaamka gari ya kusafisha mitaro inapita kuosha mavi mitaroni? lol binafsi hata nipewe na mil 100 kwa mwez nchi hii imenishinda.
 
  • Thanks
Reactions: Taz
Mimi naamini tutafika huko kote na tutafanya makubwa zaidi na watakao tufikisha huko sio Ray, JB, Wema, Wolper ama nyota mwingine yeyote yule aliyeko kwenye tasnia ya filamu Tanzania hv sasa, bali ni vijana wengine kabisa watakaoamua kuingia kwenye tasnia hiyo wakiwa na utayari ya kujifunza, kusoma vitabu mara kwa mara, kufanya kazi wakiwa na nia ya dhati kabisa kuteka na kujulikana kwenye soko la kimataifa nasio kuangalia tu soko la "Mbagala"!

"haswaaa"
 
hapa anatoa maelekezo kwa wale mateka huyu n mel gibson mwe kofia
482071_10150905570172000_247370351_n.jpg
Huyu Gibson anatisha si ndo huyu aliyetengeneza movie ya YESU the PASION ile anateswa hadi watu wanashindwa kuangalia?
 
Hahahaa, Iduguye, Vapanga kwenuko?

Huko ndiyo kwetu haswa maana karibu kila kijiji kuna Ndugu. Mkolye kukaya. Mlogoro kuna ndugu kibao kuanzia akina Mzee Magongo nk. Chabutwa upande wa Mama, Mibono na Kisanga... lohh. Asante kwa kunirudisha nyumbani.

Salamu zitafika. Mwikale Mpola.
Wavezya sana, Mkolye, Mlogolo,Iyombakuzoa, Chabutwa,Mibono, Kisanga, Utyatya,Imalampaka,Tutuo na Mwanamkola vakugishaga sana, vagishe woose kuPolandi!
 
Viol naona unafananisha movie na vitu vya kijinga kijinga vya bongo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom