Camera iliyoyotumika kwenye movie ya APOCALYPTO

Ili labda nifafanue zaidi. Zifwatazo ni movies zilizotengenezwa miaka 50 iliopita Hollywood.
Cleopatra
Lawrence of Arabia
Dr. No
Goldfinger
The Good,the Bad and the Ugly (I like this)
For a few dollars more
The time Machine
e.t.c.

Niambieni ni movie gani ya kibongo kwa sasa inakaribiana kwa "ubora" wa uigizaji na upigaji picha. Acha movie ya kibongo hata ya nollywood?
Pointi yangu ni kwamba sisi hatuwezi jilinganisha movie zetu na wenzetu kwasababu wengi wetu hatuvutiwi au ku relate na scene za wenzetu. Hivyo tunaishia kutengeneza movies utafikiri ni maigizo kwenye stage.

Hapo kwenye Dr NO na GOLDFINGER wacha masihara, ni movie za miaka hiyo lakini ukiiangalia maujanja yake lazima uwe mpole tu, watu wanatengeneza movie bwana. Sasa sisi bongo mmm.
 
czaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mkuu unajua since mpaka leo hatujafikia kiwango cha ile movie ya 'Gods must be crazy" ya siku nyingi sana ila ukiangalia ya kawaida tu hata mazingira yapo simple ila ubunifu wa hali ya juu


mdogo mdogo tutafika tu
 
mdogo wangu Excellent, haya usicompee kabisa tena hapo kwenye teknolojia angalia tu mambo ya kawaida ambayo hayaitaj technonogy kama usafi wa mazingira mtu tu kutupa karatasi ama chupa ya maji popote pale ni kawaida na hapo hapahitaji wala utaalam kama ho.

nafikir ishu ni mental equip
My sis kwa mfano ishu ndogo kama hiyo hata tunashindwa kujicontrol,mtu anaamua tu kutupa chupa ya maji kisa anajua kuna wafanyakazi wa manispaa,we unafanya kitu mwingine anakukomoa



kweli ishu ni mental equipment, watu waburudike, waelimishwe, wahabarishwe.
kweli kabisa
 
Huu ni mkamera wakushoot uliotumika kwe APOCALYPTO na hawa wengine kila mtu anashughuli yake kuna watu wa mavazi, scines, camera, locations, hadi watu wa Quality Assurance walikuwepo....hii movie ilirecodiwa chini ya ICON so wengi hapa ni wafanyakazi wa studio
252755_10150905624842000_985729373_n.jpg
Huyu jamaa akiulizwa: "Kazi yako?".
Ana haki ya kujibu: "Cameraman".

Watu wako serious aisee!
 
Huu ni mkamera wakushoot uliotumika kwe APOCALYPTO na hawa wengine kila mtu anashughuli yake kuna watu wa mavazi, scines, camera, locations, hadi watu wa Quality Assurance walikuwepo....hii movie ilirecodiwa chini ya ICON so wengi hapa ni wafanyakazi wa studio
252755_10150905624842000_985729373_n.jpg

Dah!! si mchezo....
 
Yaani wabongo mnakera hapo. Kufananisha Tanzania na usa production ni ujinga, upumbavu na unafiki, na hata kufaninisha na bollwood napo ni unafiki, Tanzania kila kitu ni tofauti kuanzia maisha unayeishi wewe unayechangia mada, chakula, usafiri, goverment na hadi utapozikwa siku yako ikifika, mel gibson amezaliwa new york wakati ray kazaliwa sijui Namtumbo so hawawezi kuwa sawa,

ukiondoka bongo mfano kwenda USA au europe through klm au emirates kwanza ndege inavyoanza kuzunguka tu kutafuta sehemu ya kutua ukichungulia chini unaona kabisa sasa naingia dunia nyingine, yenye watu wengine, vyakula vingine na technologia nyingine. We fikiria bongo eti leo ndo wanaongelea flyover wakati watu wamezijinga miaka zaidi ya 100 iliyopita na siku ya electricity train sijui ni lini,

Ray mfananishe na mama kayaiii kenya, but mel gibson ni unafiki na majungu kumfananisha nae na hii ndo sababu ya sisi kuwa maskini.

Hata tembo augue miaka na miaka hawezi akakonda akafanana na paka uzito
 
@Exellent...unafananisha Tembo na Sungura....movie hizo bajeti si chini ya Dola laki mbili...na hapo ni muunganiko wa crew...niliwahi kuwa crew katika kazi moja ya Tangazo la Biashara...we acha tu na hapo tulikua tunatoa Tangazo la sekunde 45 tu...crew tulikua kama 50,...kaka...hawa akina Ray wako katika No aor Low Budget...
 
Mkuu unajua since mpaka leo hatujafikia kiwango cha ile movie ya 'Gods must be crazy" ya siku nyingi sana ila ukiangalia ya kawaida tu hata mazingira yapo simple ila ubunifu wa hali ya juu mdogo mdogo tutafika tu

Km ulikuwa ktk mawazo yangu! Wkt nilipokuwa ninaandika comment yangu ya kwanza, movie hiyo ndio ilikuwa mawazoni mwangu.
 
@Exellent...unafananisha Tembo na Sungura....movie hizo bajeti si chini ya Dola laki mbili...na hapo ni muunganiko wa crew...niliwahi kuwa crew katika kazi moja ya Tangazo la Biashara...we acha tu na hapo tulikua tunatoa Tangazo la sekunde 45 tu...crew tulikua kama 50,...kaka...hawa akina Ray wako katika No aor Low Budget...
ila mi nadhani mtu akiwa na msimamo kwa kitu anachofanya anaweza akafika mbali sana.
 
Km ulikuwa ktk mawazo yangu! Wkt nilipokuwa ninaandika comment yangu ya kwanza, movie hiyo ndio ilikuwa mawazoni mwangu.
basi tatizo letu ni ubunifu unachangia kwa kiwango cha juu
 
unajua wachina na wahindi hawatumii english ila wanauza

Nchi nyingine zina nguvu mzee hata wakifanya jambo ni rahisi kukubalika na tayari walikuwa ktk sanaa hiyo kitambo kirefu ndio maana nikakwambia ni moja ya kigezo ila sio kigezo kikuu,

Miaka ya nyuma ulikuwa unawataja waigizaji kwa majiza hasa kutoka america, india na uchina lakini si leo hii, hapa kwetu kila movie ni wale wale hivyo bado tuna safari ndefu isiyo mna majibu ktk kufikia maadhimio yao wenyewe waigizaji na watazamaji pia.

Kiufupi tu hata kumwambia mtu akasambaze kazi yetu nje ya mipaka yetu atakula hasara.
Ziada: ni jinsi nionavyo na si mtaalam wa tasnia hii.
 
Back
Top Bottom