The Pen
JF-Expert Member
- Dec 31, 2010
- 755
- 256
Je tutafika?angalia camera ya Ray na vifaa vyake halafu fananisha na wenzetu
Mkuu Excellent, tatizo letu Bongo si camera, bali ni ubunifu -- kutaka kutengeneza movies "kubwa" kwa camera ndogo. Wangeweza kutengeneza movies nzuri tu kwa vifaa walivyonavyo.
Last edited by a moderator: