Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Kuna wakati huwa nafikiria saaana, kwanini watu huwa tunaingia gharama za ku subscribe kwenye caller tunes. Utakuta jamaa ana tunes zaidi ya tano, kila ukimpigia wasikia tunes tofauti tofauti. Bahati mbaya yeye hawezi kusikia caller tunes husika isipokuwa akitumia simu ya mtu kujaribu kujipigia. Kwa nini uweke tunes ambazo zinakufanya ukatwe pesa kila siku japo huzisikii?