Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
- Thread starter
- #21
Mlio na experience mnaonaje hilo swala la bei ya share? Sikuwa mfuatiliaji huko nyuma; Twiga Cement, TBL na makampuni mengine share zao ziliuzwaje?
Kwa nini serikali inauza share zake, kuna shinikizo kutoka sehemu fulani au ndio ku-raise fund?
.
Lazydog, market analysts say the share price is beyond the Dar es Salaam Stock Exchange policy. They say the share price should not have gone beyond Sh500 to make the offer affordable to small investors. nadhani wahusika wanaweza wakalielezea vizuri zaidi.
Nadhani Twiga Cement ilikuwa TZS 455/= na TCC TZS 410/=; nk.
Kuhusu Serikali kuuza share zake, nadhani hii ni utekelezaji wa sera zake za Mageuzi ya Kiuchumi ambapo serikali inajitoa katika uendeshaji wa mashirika mbalimbali.