Binafsi naamini tunahitaji kufanya analysis ya kina zaidi kuweza kujua wapi pana cost saving. Pia ni muhimu kutofautisha financial saving na convinience zingine ambazo ni ngumu kuziweka kwenye monetary terms e.g. hewa nzuri, kukopesheka madukani e.t.c.
Binafsi nina nyumba Mbweni Mpiji about 50 km kwenda na kurudi toka city centre, nimeamua kupangisha hiyo nyumba kwa pango dogo kabisa la 170,000 na kupanga Tabata Bima ambapo ni 20 km kwenda na kurudi toka city centre kwa kodi ya sh. 300,000.
Faida za Tabata
1. Mafuta ya gari sh. 200,000 kwa mwezi
2. Napata usingizi wa kutosha na kupumzika tayari kwa siku nyingine
3. Napata muda mrefu wa kukaa na familia yangu na mama totoo
4. Napata muda wa kukagua na kufuatilia maendeleo ya watoto wangu on daily basis
5. Nikiwa naenda kazini napata muda wa kuwa drop watoto shuleni kulingana na muda ninaoondoka
6. Kutokana na kuendesha kilometa fupi fupi, inanichukua zaidi ya miezi 3 kufanya service ya gari na tyre kuisha faster
Hasara za kuishi Tabata so far zijaziona, kumbuka cost ya maisha ni karibu sawa sawa in terms of food prices
Faida za kukaa Mbweni
1. Hewa nzuri
2. Raha ya kukaa nyumbani kwako (obviously nyumba yako ina raha zaidi ya kupanga kisaikolojia)
Hasara za kuishi Mbweni
1. Kuamka saa 10 usiku na kurudi home saa 5 usiku monday to friday
2. Magonjwa ya kisaikolojia yanayoambatana na kukaa muda mrefu kwenye foleni
3.Car maintanance cost is relatively higher interms of fuel and service
4. The longer you drive in terms of kilometa na speed the higher the possibility of getting involved in accidents
5. Huna muda wa kukaa na watoto na mkeo/mmeo
6. Hata mkeo anaweza kuchepuka kirahisi kwa sababu anajua mpaka ufike home utakuwa umechoka na utachelewa. kwa hiyo mkeo anaweza kushawishika kupata cha chap chap teh teh teh
So ni bora kupanga eneo la karibu na ofisi yako kuliko mbali especially kama tofauti ya distance ni kubwa na kuna foleni.
Kazi kweli kweli!!!! ila mzee kwa mbezi na Sinza the difference is negligible na nazani kwa issue ya foleni sometimes hata sinza inakuwa balaa !
Mwanamke kugongwa hiyo ni tabia yake na ni kama unakula chips kila siku kana kwamba huwezi kuwa na energy ya kutosha kumsatisfy unaporudi na kama ni issue ya foleni sidhan kama kutoka Dar kwenda Mbeni it can take u mpaka saa 5 Ucku otherwise u have otherbussines to do, cdhani kama ni foleni hiyo mkuu!