Calcutations (Maisha ndani ya Dar)

Binafsi naamini tunahitaji kufanya analysis ya kina zaidi kuweza kujua wapi pana cost saving. Pia ni muhimu kutofautisha financial saving na convinience zingine ambazo ni ngumu kuziweka kwenye monetary terms e.g. hewa nzuri, kukopesheka madukani e.t.c.

Binafsi nina nyumba Mbweni Mpiji about 50 km kwenda na kurudi toka city centre, nimeamua kupangisha hiyo nyumba kwa pango dogo kabisa la 170,000 na kupanga Tabata Bima ambapo ni 20 km kwenda na kurudi toka city centre kwa kodi ya sh. 300,000.

Faida za Tabata
1. Mafuta ya gari sh. 200,000 kwa mwezi
2. Napata usingizi wa kutosha na kupumzika tayari kwa siku nyingine
3. Napata muda mrefu wa kukaa na familia yangu na mama totoo
4. Napata muda wa kukagua na kufuatilia maendeleo ya watoto wangu on daily basis
5. Nikiwa naenda kazini napata muda wa kuwa drop watoto shuleni kulingana na muda ninaoondoka
6. Kutokana na kuendesha kilometa fupi fupi, inanichukua zaidi ya miezi 3 kufanya service ya gari na tyre kuisha faster



Hasara za kuishi Tabata so far zijaziona, kumbuka cost ya maisha ni karibu sawa sawa in terms of food prices

Faida za kukaa Mbweni
1. Hewa nzuri
2. Raha ya kukaa nyumbani kwako (obviously nyumba yako ina raha zaidi ya kupanga kisaikolojia)


Hasara za kuishi Mbweni
1. Kuamka saa 10 usiku na kurudi home saa 5 usiku monday to friday
2. Magonjwa ya kisaikolojia yanayoambatana na kukaa muda mrefu kwenye foleni
3.Car maintanance cost is relatively higher interms of fuel and service
4. The longer you drive in terms of kilometa na speed the higher the possibility of getting involved in accidents
5. Huna muda wa kukaa na watoto na mkeo/mmeo
6. Hata mkeo anaweza kuchepuka kirahisi kwa sababu anajua mpaka ufike home utakuwa umechoka na utachelewa. kwa hiyo mkeo anaweza kushawishika kupata cha chap chap teh teh teh

So ni bora kupanga eneo la karibu na ofisi yako kuliko mbali especially kama tofauti ya distance ni kubwa na kuna foleni.




Kazi kweli kweli!!!! ila mzee kwa mbezi na Sinza the difference is negligible na nazani kwa issue ya foleni sometimes hata sinza inakuwa balaa !

Mwanamke kugongwa hiyo ni tabia yake na ni kama unakula chips kila siku kana kwamba huwezi kuwa na energy ya kutosha kumsatisfy unaporudi na kama ni issue ya foleni sidhan kama kutoka Dar kwenda Mbeni it can take u mpaka saa 5 Ucku otherwise u have otherbussines to do, cdhani kama ni foleni hiyo mkuu!
 
Mkuu, Kama Mbezi unaenda kuulaza mwili wako tu, bora pangisha nyumba nawe Upange Sinza/Mwenge.

Ila kama una vikuku,vibata, vimbuzi, ving'ombe na vilimao na vichungwa.....bora tu uteseke na mifoleni, labda iko siko Maisha bora kwa mtanzania inaweza ikawa kweli.

Very nice reasoning Buddy. Nikuta sholae?
 
Kwako ni Kwako Tu ........na Sikuzote Kwako Hakujawahi na Haitakaa itokee Kwako Kukawa Mbali

Knyama, Sinza , M/ nyamala Nyumba sasa hv ni Tzs 350,000 - kwa mwezi kwenda juu, Na hiyo ni nyumba ya Vyumba 2 tuuuuuuuuuu.

Jenga Ukae Kwako achana na mawazi Mgando
 
Binafsi naamini tunahitaji kufanya analysis ya kina zaidi kuweza kujua wapi pana cost saving. Pia ni muhimu kutofautisha financial saving na convinience zingine ambazo ni ngumu kuziweka kwenye monetary terms e.g. hewa nzuri, kukopesheka madukani e.t.c.

Binafsi nina nyumba Mbweni Mpiji about 50 km kwenda na kurudi toka city centre, nimeamua kupangisha hiyo nyumba kwa pango dogo kabisa la 170,000 na kupanga Tabata Bima ambapo ni 20 km kwenda na kurudi toka city centre kwa kodi ya sh. 300,000.

Faida za Tabata
1. Mafuta ya gari sh. 200,000 kwa mwezi
2. Napata usingizi wa kutosha na kupumzika tayari kwa siku nyingine
3. Napata muda mrefu wa kukaa na familia yangu na mama totoo
4. Napata muda wa kukagua na kufuatilia maendeleo ya watoto wangu on daily basis
5. Nikiwa naenda kazini napata muda wa kuwa drop watoto shuleni kulingana na muda ninaoondoka
6. Kutokana na kuendesha kilometa fupi fupi, inanichukua zaidi ya miezi 3 kufanya service ya gari na tyre kuisha faster



Hasara za kuishi Tabata so far zijaziona, kumbuka cost ya maisha ni karibu sawa sawa in terms of food prices

Faida za kukaa Mbweni
1. Hewa nzuri
2. Raha ya kukaa nyumbani kwako (obviously nyumba yako ina raha zaidi ya kupanga kisaikolojia)


Hasara za kuishi Mbweni
1. Kuamka saa 10 usiku na kurudi home saa 5 usiku monday to friday
2. Magonjwa ya kisaikolojia yanayoambatana na kukaa muda mrefu kwenye foleni
3.Car maintanance cost is relatively higher interms of fuel and service
4. The longer you drive in terms of kilometa na speed the higher the possibility of getting involved in accidents
5. Huna muda wa kukaa na watoto na mkeo/mmeo
6. Hata mkeo anaweza kuchepuka kirahisi kwa sababu anajua mpaka ufike home utakuwa umechoka na utachelewa. kwa hiyo mkeo anaweza kushawishika kupata cha chap chap teh teh teh

So ni bora kupanga eneo la karibu na ofisi yako kuliko mbali especially kama tofauti ya distance ni kubwa na kuna foleni.

Ninasishi Mbezi mwisho,nami nilijuwa mmoja wa wanaoumia na foleni ya Morogoro roads,lakini faida ya kukaa nyumbani kwangu ni kubwa millions tines ya kupanga,kwanza nina eneo la kutosha kwangu na familia yangu,hewa safi sana,Vikuu,vimchicha flesh nk.
Isitoshe kwa wale wanaokaa mbezi mwisho kuna njia mbadala ya kukwepa foleni ya morogoro road asubuhi na jioni.Nifuatishe kama ifuatavyo...Through Chuo kikuu kuelekea Changanyikeni,moja kwa moja mpaka karibu mita 200 na geti la JESHI,kuna njia inacvhepuka kulia pana kibao cha ASSEMBLIES OF GOD CHANGANYIKENI fuata hiyo njia ya kuelekea kanisa la TAG,nenda moja kwa moja ukizingatia kulia kama kuna njia inachepuka kwani kushoto kwako ni kuelekea eneo la jeshi kama kms 3 unakua umemaliza eneo la jeshi unaungana na barabara ya Makongo juu,Baada ya kama mita 200 toka kumaliza msitu wa kejeshi na kuungana na barabara ya makongo juu kuna barabara inashuka bondeni upande wa kushoto,ifuate ukizingatia kushoto hadi kwenye daraja linalojengwa la mto mbezi pana diversion,fuata hiyo njia moja kwa moja hadi Goba,unapinda kushoto kuelekea mbezi mwisho,Goba na mbezi mwisho ni 10KM.hakuna foleni kabisa. Inanichukua 30min.toka mlimani city hadi home mbezi mwisho. Jumla ni 16KMS toka mlimani city. Try it you will enjoy,Kuishi kwenye mji wako kuna raha zake,USIPIME BWANA
 
Jamani,kukaa zaidi ya 30KM kutoka kazini,na foleni za Dar.hayo ni mateso makubwa kisaikologia na kifedha pia.tumeshindwa kuishi mbezi na familia yangu kwa sababu ya foleni na usalama mdogo uliopo ktk maeneo ya kando ya Dar.

Nashauri kama hujajenga ,nenda ukajenge kigamboni,huko kutakuwa nafuu ya foleni pia siyo mbali na city center.
vinginevyo karibuni sana kinonondoni,kijitonyama,mwenge,sinza na ukiweza upanga :)
Maisha ndio haya haya ,sasa kutumia zidi ya saa 6 barabarani uhuo ni upungufu wa kutafakari na kuchukua hatua.ni heri ukiwa unapenda kuishi ktk nyumba yako ya mbezi/kibamba /bunju etc basi bora ufungue duka huko huko ujiajiri or weka mazingira ufanye kazi yako karibu na unapoishi.
 
Goba,unapinda kushoto kuelekea mbezi mwisho,Goba na mbezi mwisho ni 10KM.hakuna foleni kabisa. Inanichukua 30min.toka mlimani city hadi home mbezi mwisho. Jumla ni 16KMS toka mlimani city. Try it you will enjoy,Kuishi kwenye mji wako kuna raha zake,USIPIME

Goba Mwisho na Mbezi ni Kilometa Tisa Taslimu na kwa sasa barabara nimeipita inaonekana hiko bomba sana.
 
Jamani,kukaa zaidi ya 30KM kutoka kazini,na foleni za Dar.hayo ni mateso makubwa kisaikologia na kifedha pia.tumeshindwa kuishi mbezi na familia yangu kwa sababu ya foleni na usalama mdogo uliopo ktk maeneo ya kando ya Dar.

Nashauri kama hujajenga ,nenda ukajenge kigamboni,huko kutakuwa nafuu ya foleni pia siyo mbali na city center.
vinginevyo karibuni sana kinonondoni,kijitonyama,mwenge,sinza na ukiweza upanga :)
Maisha ndio haya haya ,sasa kutumia zidi ya saa 6 barabarani uhuo ni upungufu wa kutafakari na kuchukua hatua.ni heri ukiwa unapenda kuishi ktk nyumba yako ya mbezi/kibamba /bunju etc basi bora ufungue duka huko huko ujiajiri or weka mazingira ufanye kazi yako karibu na unapoishi.

Mzalendo Mpya:

Inategemea na njia unazopita. Kama wewe unasema kwenda mbezi ukuchukua wastani wa masaa sita yaonyesha ya kwamba wewe huwa unafuata nyororo kuanzia 'Faya'; Manzese; Ubungo Mataa; Mbezi Mwisho etc lakini wanaojua njia za mkato hiyo si issue kabisa. Sinza et al ni full mabaa na gesti bubuz. Hivi watoto wako pamoja na mama changa kuwapitisha hiyo barabara ya Shekilango na Urafiki mida ya 'Sungu Sungu' kazini unawafundisha nini? Maadili sehemu hizo ni sawa na sufuri. Wajanja woote uenda Sinza et al kula maisha lakini familia ziko nje ya mji zinakula 'real life'
 
Mimi nilipo natumia baiskeli tu dk 2 kazini.Gari kwa J1 na j2 tu.Ndo raha ya Mkoani bwana.
 
True said, kuishi sinza kuna challenges za maadili ya watoto etc,nazungumzia maeneo ya karibu na city center,kwa familiy person sinza hapafai kabisa,ila tabata,kigamboni bado ni pazuri na travelling time ni fupi sana,

kuna aliyezungumzia kupita shortcuts and panya route,embu tafakari familiy members wako ambao usafiri wao ni Daladala na hawana option zaidi ya bodaboda.
Mzalendo Mpya:

Inategemea na njia unazopita. Kama wewe unasema kwenda mbezi ukuchukua wastani wa masaa sita yaonyesha ya kwamba wewe huwa unafuata nyororo kuanzia 'Faya'; Manzese; Ubungo Mataa; Mbezi Mwisho etc lakini wanaojua njia za mkato hiyo si issue kabisa. Sinza et al ni full mabaa na gesti bubuz. Hivi watoto wako pamoja na mama changa kuwapitisha hiyo barabara ya Shekilango na Urafiki mida ya 'Sungu Sungu' kazini unawafundisha nini? Maadili sehemu hizo ni sawa na sufuri. Wajanja woote uenda Sinza et al kula maisha lakini familia ziko nje ya mji zinakula 'real life'
 
Hapo na mimi nakuunga mkono.
Wingi wa magari Dar ukichangiwa na ufinyu wa barabara unaleta foleni sana.
Maana hata ukikaa Sinza, Mwenge, Mikocheni, etc, foleni bado ni kero tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom