<br />Hii calabash pub jina kama ID yangu iko upande gani Dar na ni nzuri? Nielekezeni.
<br />kweli watu hatulingani haya bwana endelea kupombeka..
<br />nipo hapa karibu na choo cha kike uko wapi wewe?
<br />njoo counter
<br /><br /><br />
<br /><br />
mzee kuswali kuna muda wake usitukate stimu
Wazee nipo ndani ya Calabash hapa this time najigongea tu mambo ya Rangi ya chungwa!!kuna mwanajf yoyote now humu ndan?
Upo upande gani, mi nipo Counter hapa na Irene
he he carol hata ukikaa na mamsap hm huna zamu ya kunyonyesha sasa si bora ukanyonye maji ya mendeNaona kiza! mamsapo zenu mmeziacha zinanyonyesha mko mnapombeka, ama kweli!
Zamani iliitwa Picnic Pub kama sikosei hapo kuna guest moja ambayo zamani zilikuwa pamoja na Picnic Pub ,ila kwa sasa inajitegemea hiyo guest unapoenda chooni ndiko kuna mlango wa kuingilia hiyo guest ambayo ni machinjio ya fasta book 6 tuHii calabash pub jina kama ID yangu iko upande gani Dar na ni nzuri? Nielekezeni.
Zamani iliitwa Picnic Pub kama sikosei hapo kuna guest moja ambayo zamani zilikuwa pamoja na Picnic Pub ,ila kwa sasa inajitegemea hiyo guest unapoenda chooni ndiko kuna mlango wa kuingilia hiyo guest ambayo ni machinjio ya fasta book 6 tu
<br />
<br />
hahaaaaaa....umemuona huyo msimamizi wa jikoni hapo...anaitwa furaha daaah ana mkia acha kabisa
sasa vilabuni mkiambiwa watu wanashikana nanii!Bora muanze kutupa "live" yanayojiri huko vilabuni badala ya kuwa mnatupa "live" za maandamano tu. Mnanchekesha!
Haya anzeni...labda tukinogewa tutakuja kuwa join.