Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,859
- 1,301
Wakati JK anajibu maswali juzi, alisema Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa serikali (CAG) anaendelea na kazi ya kuhakiki madai ya walimu ili yaweze kulipwa. Nina tatizo kidogo:
-Kwa kawaida na imezoeleka kuwa CAG hufanya kazi kama mkaguzi wa nje ( external auditor), hivyo kazi yake huwa siyo kutengeneza hesabu bali kupitia hesabu zilizokwisha tengenezwa na kutoa maoni kama zinaonyesha hali halisi (to form an independent opinion on the accounts presented to him). Sasa CAG anapoanza kuhakiki madeni kabla hayajalipwa, baadae nani atakagua? Maana yake he is now playing the role of an accountant or internal auditor - nani sasa atakuwa external auditor?
- Je kama baadae ataendelea na kazi yake kama external auditor ( kama anavyofanya kwa hesabu za serikali za mitaa nk) si itaonekana amekuwa kigeugeu?
Mimi naona kuna conflict somewhere; huwezi kuverify madeni na yakishalipwa uje u-form an independent opinion juu ya madeni hayo; na kwa kweli huwezi kuja tena ukafanya ukaguzi as an independent person. Kwa vyovyote utapenda kuonyesha kuwa what you did was right!
Si vyema CAG akaanza kutumiwa na wanasiasa.
Nadhani NBAA wanaweza kutupa ufafanuzi wa suala hili.
-Kwa kawaida na imezoeleka kuwa CAG hufanya kazi kama mkaguzi wa nje ( external auditor), hivyo kazi yake huwa siyo kutengeneza hesabu bali kupitia hesabu zilizokwisha tengenezwa na kutoa maoni kama zinaonyesha hali halisi (to form an independent opinion on the accounts presented to him). Sasa CAG anapoanza kuhakiki madeni kabla hayajalipwa, baadae nani atakagua? Maana yake he is now playing the role of an accountant or internal auditor - nani sasa atakuwa external auditor?
- Je kama baadae ataendelea na kazi yake kama external auditor ( kama anavyofanya kwa hesabu za serikali za mitaa nk) si itaonekana amekuwa kigeugeu?
Mimi naona kuna conflict somewhere; huwezi kuverify madeni na yakishalipwa uje u-form an independent opinion juu ya madeni hayo; na kwa kweli huwezi kuja tena ukafanya ukaguzi as an independent person. Kwa vyovyote utapenda kuonyesha kuwa what you did was right!
Si vyema CAG akaanza kutumiwa na wanasiasa.
Nadhani NBAA wanaweza kutupa ufafanuzi wa suala hili.