Mkuu napata shida hapa kidogo kila nikijaribu kuweka audit report ya nssf ikifika 60% inakata haichagui amemning'inizaNingeshangaa kama Mussa Assad angekubali kumning'iniza mswalihina mwenzake. Wanajuana kwa Vilemba anzia Masjid ya UDSM.
Ufisadi upo, ila source sina. Kiwanja kununuliwa kwa mil 800 utadhani kipo kariakoo? Mradi wa kigamboni bridge kuwa na thamani kubwa kuliko daraja la china lenye km 41 wakati kigamboni ni m 600 pekee lkn gharama kubwa kuliko la china. Value for money haipo.
Lkn pale ngedere anapopewa kumlinda ngedere kwenye shamba la mahindi
Ripoti ya CAG iliyotengenezwa na Ernest and young iliyovuja kabla board haijaipitia maana wangeinyofoa baadhi ya mambo bahati nzuri JPM akalijua hilo na kuitumbuambona mwanzoni mlisema ni ripoti ya CAG? au huyu mnaemuongelea ni yupi? au ni kipi kilikuwa chanzo cha taarifa yenu?
Ripoti ya CAG iliyotengenezwa na Ernest and young iliyovuja kabla board haijaipitia maana wangeinyofoa baadhi ya mambo bahati nzuri JPM akalijua hilo na kuitumbua
Bibi ni Je? Na jeeWacha uongo wewe.
Uko wapi huo uongo wenu? Hamna cha ripoti wala ushuzi wa ripoti mnazuwa jee mngekuwa na ripoti? Si ndiyo mngefanya sherehe.
Ule uongo wenu eti mnamnukuu mlinzi wa getini?
Hivi hizo shule mlienda kusomea uongo?
Wacha uongo wewe.
Uko wapi huo uongo wenu? Hamna cha ripoti wala ushuzi wa ripoti mnazuwa jee mngekuwa na ripoti? Si ndiyo mngefanya sherehe.
Ule uongo wenu eti mnamnukuu mlinzi wa getini?
Hivi hizo shule mlienda kusomea uongo?
Je unajua chanzo cha board ya Nssf kuvunjwa,na je unajua walikuwa wafanye kikao siku inayofuata kabla ya kuvunjwa,unajua ajenda za hicho kikao? Basi nikudukulie tu kidogo kuwa ulikuwa ikae full board baada ya audit committee kukaa na ukipitia ile ripoti ya audit,wajanja walompelekea jpm a raw audit report na jpm akaivunja board na kuagiza minute za hicho kikao kilichotegemewa zipekekwe wizarani,ukitaka zaidi karibu
Hahahaha, we kweli juha.
Ni kweli kashatoka ili na sisi wakristo tumempata mwenzetu paleNdo kashatoka hivyo,hana nafasi tena.
Kama vile uncle alivyokaa mahabusu miaka miwili then akatoka akiwa hana hatia lol,,
Ni kweli kashatoka ili na sisi wakristo tumempata mwenzetu pale
Ha,,..,.haaaTeh teh teh.
Unamuuliza nan sasa?
Nyinyi si mlikuwa mnasubiri CAG Reports ili mumpeleke Dau mahakaman?
Teh teh teh...haya sasa kiko wapi?