Mukuru
Member
- Apr 14, 2009
- 40
- 0
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea Taarifa kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali( CAG),Ludovic Utoh kuhusu mapato na makusanyo ya kituo cha mabasi cha Ubungo jijini Dar es salaam, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma Jana.Mheshimiwa Pinda alimuagiza CAG kufanya uchunguzi huo baada ya kutembelea kituo hicho na kupata malalamiko kutoka kwa wadau Machi mwaka huu.