Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Mbwana Ally Samatta ameng'ara tena kwenye CAF Champions League 2012 leo jioni baada ya kuifungia timu yake dhidi ya Waarabu hao wa Misri. Bao la kwanza lilofungwa na kiungo Isaac Kasongo dk. 70 kabla ya Samatta kuongeza bao ka pili dk.77
Kaza buti dogo Ulaya inanukia.
Kaza buti dogo Ulaya inanukia.