Natamania Ahly=Mkuu kombe linarudi kwenye kabati huko CAIRO !! ......mpira unamaajabu!!Natamani sana Orlando washinde.....lakini
Mkuu Mfamvu...tupasheeee matokeo???? ubarikiweMohamed ABoutreka anaipatia Ahly goli la kuongoza kwa mkwaju maridadi wa adhabu ndogo, takriban dakika ya 14 ya mchezo.
Natamania Ahly=Mkuu kombe linarudi kwenye kabati huko CAIRO !! ......mpira unamaajabu!!
Dah jamaa wamefanya kombe kama mkanda wao wa kiunoni kila wakitaka wanauvaa!