CAF Champions League

Heshima kwenu wapenzi wa soka wote,,

Wadau leo ndo leo kwenye african football as 2nd league ya semi finals inapigwa leo usiku mjini Tunis kwenye uwanja wa nyumban wa esperance baada ya kuwalazimisha sare Tp mazembe mjini lubumbash kwenye uwanja wao mpya na wa kisasa The new mazembe stadium,, wadau wa soka mnahis leo nani anaondoka?

Mbwana samatta na imani atakuwa katika mechi kubwa sana kwake as makocha wa team zote kubwa ulaya huwa wanaangalia mechi kama hizi as ndo word class match in clubs level kutoka africa...

On my views nahisi kama Mazembe anaondoka as game 1 waarabu walitisha sana.. Wadau mnaonaje?

Super sport 9 wanarusha game live leo usiku, mashabiki wa simba na yanga naomba tuangalie hii mechi ili tujue vilabu vyetu vipo nyuma kiasi gani... Maana spidi inayopigwa humu na pass za haraka haraka ni kama ulaya...

Tusisahau kutazama na kesho Semi finals nyingine between SUNSHINE STARS VS AL HALY as sunshine from Nigeria mjini igejebuje akiwa away kujaribu kufosi ushindi baada ya kulazimishwa sale nyumbani igejebuje nigeria...

Kwa match za kwanza nilivyoona nikagundua Simba na Yanga ni bado sanaaaa kufika level hizi za kucheza champions league semi finals.. Hawa watoto wa nigeria wana dogo anaitwa Azuka a University of lagos student first year ndo amesimama mbele pale ni balaa tupu ambaye scouts wa ulaya wanamzingira daily na anamalizia msimu aelekee zake ufaransa wakati wa dirisha dogo,,,, Wapenda soka wote naomba mumcheki kisha muone wakina Okwi sijui Twite walivyo magumashi....
 
Heshima kwenu wapenzi wa soka wote,,

Wadau leo ndo leo kwenye african football as 2nd league ya semi finals inapigwa leo usiku mjini Tunis kwenye uwanja wa nyumban wa esperance baada ya kuwalazimisha sare Tp mazembe mjini lubumbash kwenye uwanja wao mpya na wa kisasa The new mazembe stadium,, wadau wa soka mnahis leo nani anaondoka?

Mbwana samatta na imani atakuwa katika mechi kubwa sana kwake as makocha wa team zote kubwa ulaya huwa wanaangalia mechi kama hizi as ndo word class match in clubs level kutoka africa...

On my views nahisi kama Mazembe anaondoka as game 1 waarabu walitisha sana.. Wadau mnaonaje?

Super sport 9 wanarusha game live leo usiku, mashabiki wa simba na yanga naomba tuangalie hii mechi ili tujue vilabu vyetu vipo nyuma kiasi gani... Maana spidi inayopigwa humu na pass za haraka haraka ni kama ulaya...

Tusisahau kutazama na kesho Semi finals nyingine between SUNSHINE STARS VS AL HALY as sunshine from Nigeria mjini igejebuje akiwa away kujaribu kufosi ushindi baada ya kulazimishwa sale nyumbani igejebuje nigeria...

Kwa match za kwanza nilivyoona nikagundua Simba na Yanga ni bado sanaaaa kufika level hizi za kucheza champions league semi finals.. Hawa watoto wa nigeria wana dogo anaitwa Azuka a University of lagos student first year ndo amesimama mbele pale ni balaa tupu ambaye scouts wa ulaya wanamzingira daily na anamalizia msimu aelekee zake ufaransa wakati wa dirisha dogo,,,, Wapenda soka wote naomba mumcheki kisha muone wakina Okwi sijui Twite walivyo magumashi....

Nakubali soka letu linaharibiiwa na kilabu hizi kubwa na wachezaji wetu hawana mtazamo wa kujiendeleza. kisoka
[1].mazoezi ya nguvu hawataki kufanya,
[2].wanaweka imani za kishirikina zaidi.
[3].hawana mipango wala hawataki kujifunza kwa wengine.[eti wakiona mkanda wa sebene wanaweza kuiga vizuri ,lakini sio soka la wengine.
[4].Mchezaji wetu akipata TZS.20m anakimbilia kununua gari badala ya kufanya yafuatayo;{kutenga pesa kidogo ajifunze kifaransa,atenge pesa atengeneze master CD ampe wakala,atenge pesa kidogo ajifunze kutumia kompyuta na kufungua Email,atenge pesa kidogo atafute mwanasheria wake kwa ajili ya mikataba,atenge pesa kidogo amtafute msemaji wake.!!!YOTE HAYA HAYAZIDI TZS.3,000,000/=}
[5].Mchezaji akifika simba au yanga basi anjiona amefika.!!
[6].timu zinacheza kwenye media zaidi ya uwanjani.
[7].Viongozi wanataka ulaji na umaarufu tu.
 
Nakubali soka letu linaharibiiwa na kilabu hizi kubwa na wachezaji wetu hawana mtazamo wa kujiendeleza. kisoka
[1].mazoezi ya nguvu hawataki kufanya,
[2].wanaweka imani za kishirikina zaidi.
[3].hawana mipango wala hawataki kujifunza kwa wengine.[eti wakiona mkanda wa sebene wanaweza kuiga vizuri ,lakini sio soka la wengine.
[4].Mchezaji wetu akipata TZS.20m anakimbilia kununua gari badala ya kufanya yafuatayo;{kutenga pesa kidogo ajifunze kifaransa,atenge pesa atengeneze master CD ampe wakala,atenge pesa kidogo ajifunze kutumia kompyuta na kufungua Email,atenge pesa kidogo atafute mwanasheria wake kwa ajili ya mikataba,atenge pesa kidogo amtafute msemaji wake.!!!YOTE HAYA HAYAZIDI TZS.3,000,000/=}
[5].Mchezaji akifika simba au yanga basi anjiona amefika.!!
[6].timu zinacheza kwenye media zaidi ya uwanjani.
[7].Viongozi wanataka ulaji na umaarufu tu.
Mkuu, umezungumza points za nguvu saana na umetoa elimu kubwa kwa wachezaji wetu na mashabiki wa soka. wachezaji wetu hawana makosa ila serikali za awamu mbili za mwanzo zinafaa kubeba lawama zote hizi. Hakuna hata nchi moja iliyoshabikia ukomunisti hapa dunniani ikatamba kisoka. Soka letu lilibomoka mwaka 1976 wakati serikali chini ya waziri wa michezo wakati huo mirisho sarakikya alipowafukuza Tambwe Leya na Nabi Kamara. Jiulize kwanza kwa nini serikali iliwafukuza wataalamu waliokuwa wanleta soka la kisasa kwa vijana wetu? halafu kutokuwa na television kwa miaka 30 ya ujamaa na kujitegemea kulichangia sana vijana wetu kutokwenda na wakati na soka.

Mashabiki huwafuata wachezaji na kuwatisha kuwa mpira wao utashuka kama hawataki kumuona mzee toboa tobo. awamu ya kikwete na mkapa ndiyo wamefanya kazi kubwa kuweka misingi ya soka hapa nchini kwa kujenga kiwanja cha kisasa na kuleta makocha wa kigeni. Haya ulioelimisha hapo juu yatakuja tuu akirini mwa wachezaji wetu na ipo siku Yanga na simba zita wika afrika kama vile zilitaka kuwika mwaka 75& 76.

Mechi ya leo mazembe anashinga kwa penalti. Halafu atakutana na mnigeria. Kila la kheri Mbwana samata na najua tuu kuwa mbwana hii ni mechi yake ya mwisho kucheza africa. maana utaalamu wake unatafutwa sana Ulaya na Latin america.
 
Mkuu TANGO73 umeonge vzuri, ila naomba utambue hizi timu zako za kulwa na doto mwisho wao ndio unakaribia. Usije kutegemea hata siku moja ligi yetu ikiendeshwa kibiashara kama ligi za wenzetu hawa jamaa zako watadumu kwenye soka. Tazama Nigeria, Angola, Kenya na nchi nyingine zilizoendelea kimpira. Wataishia kurumbana then wenzao kama Azam na wengine watakao ibuka ndio watakao faidi game. Nakuhakikishia kati ya Kulwa au Doto lazma mmijawapo hatashiriki mashindano ya mabigwa Africa.
 
Mazembe wametoka, kwa effort kidogo za hujuma. Kipa wao, alikuwa anamulikwa na spotlight za kijani muda wote wa mchezo, tena usoni. Refa aliwaua hasa dakika za mwisho kwenye fouls, aliwanyima za wazi na karibu ya goli halafu akaja kuwapa za nyuma kabisa.
All in all Esperance walicheza vizuri, Youseff Msakni akiwa nyota wa mchezo kwa upande wangu. Nawatabiria kubenda ndoo kama hakutakuwa na mabadiliko yoyote...
 
How was Samatha's performance?

Average.
Not too good and vice versa, as long as Mazembe hawakuonesha kiwango tulichotarajia. Good enough ni kuwa Thomas Ulimwengu alicheza pia, aliingia kipindi cha pili akimreplace Kasusula.
 
Back
Top Bottom