Gfsonwin na @ cacico kwa nini msiwe wakweli?
Baada ya thread hii kurushwa nilianza investigations,taarifa za kiintelijensia zinasema ukweli wa tukio ni kuwa cacico alibandikwa mimba na @ asprin,katika kukuru kakara ya kuitoa kwenye dispensare ya Kaizer iliyoko keko mwanga mambo yaliharbika ikabidi gfsonwin atafutwe ili ampeleke kwa dr wake bingwa wa kinamama,wakati anatafutwa naye kumbe yuko bize na bwanake nanhii buibui gest,wadau m nanipata uzuri?
umeyaona ama bado niyakuze?
safari hii tukusutie chini ya bahari! khaaaaaaaa, mzima weye Bishanga?Gfsonwin na @ cacico kwa nini msiwe wakweli?
Baada ya thread hii kurushwa nilianza investigations,taarifa za kiintelijensia zinasema ukweli wa tukio ni kuwa cacico alibandikwa mimba na @ asprin,katika kukuru kakara ya kuitoa kwenye dispensare ya Kaizer iliyoko keko mwanga mambo yaliharbika ikabidi gfsonwin atafutwe ili ampeleke kwa dr wake bingwa wa kinamama,wakati anatafutwa naye kumbe yuko bize na bwanake nanhii buibui gest,wadau m nanipata uzuri?
shaka ondoa, nitatangulia mbele kabisa! mzima wewe my dada?
sweetlady, mama kadogoo, mi mithd u kha! nipo my dear, naliendeleza gurudumu!Nisamehe kwa kuchelewa kuja kukusaidia kuomba msamaha gfsonwin .......namjua cacico vizuri hope ameshakusamehe kwa moyo wake wote......hii ramadhani inanifanya niwe busy kiasi chake lol
gfsonwin mie pia najipanga nitafute wazee waje na mbege kuniombea msamaha kwako.......unajua vile namaanisha kutoka uvunguni mwa moyo wangu!..... :busu
Mimi penda wewe sana ila nikicheki majukumu yananiandama!