The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
ukienda mikoani unakuta kuna watu tofauti wana toa huduma ya cable tv
cha ajabu kwenye cable hizo unakuta channel zote za local na
zingine mfano supersport na kdhalika kwa bei nafuu mno
while watu wa dar wanalia na gharama za dstv au ubovu wa star times....
sasa swali ni hili
ni teknolojia ipi wanatumia hawa wenye cable za mikoani kurusha
channel nyiingi na kuchanganya zoote za dstv na zingine?
je ni halali?
na mtu ukitaka uweke tu kwa matumizi ya nyumbani inakuwaje?
cha ajabu kwenye cable hizo unakuta channel zote za local na
zingine mfano supersport na kdhalika kwa bei nafuu mno
while watu wa dar wanalia na gharama za dstv au ubovu wa star times....
sasa swali ni hili
ni teknolojia ipi wanatumia hawa wenye cable za mikoani kurusha
channel nyiingi na kuchanganya zoote za dstv na zingine?
je ni halali?
na mtu ukitaka uweke tu kwa matumizi ya nyumbani inakuwaje?