Jamani acheni aende popote huyu mtoto anafaa sn, sijaona MP mwenye mipango yakaribu km huyu mtt, kweli heshima ya manyuzi naamini ataiweka mbele, mm si mpenzi wa CCM ila mtu afanyavyo vizuri lazima tumpe hongera.
Sijaona MP hata mmoja wa CCM ambaye yuko tayari kukataa Lunch box ya 1m na kuwaambia wenzake, kama mwenyekiti hakuwa tayari kupokea 1m km lunch kwani ni hongo, kunachakula gani cha sh. mil. 1, anastahili hata akiwa FM namfagilia sana, naamini nchi itabadilika, wacheni vijana wachukue usukani kwenye jahazi linaloyumba watawasaidia wazee kufika mahali palipokutegemewa.
Je alivyokuwa anaipigia debe DOWANS ulijiuliza kama ile ilikuwa hali ya kawaida au alikuwa na msukumo fulan?
Chunguza njomba utabaini...!