C.V ya Dr. Slaa hiyoooo!!! Tunaomba na ya JK wa ukweli.

DR SLAA ni Dr wa Kweli kwa kusomea na si wa kupewa!!!! isije ikawa unafikiri udokta wake ni chakupewa!!!!!!!!!!! DR SLAA NI DOKTA WA PHILOSOPHY with Dergees in Theology

na wewe mwongo degrees in theology slaa alizichukulia wapi

slaa ana certificates tu na kisha phd moja kwa moja tena miaka minne tu. ni kanisani tu unaweza kupata phd za namna hiyo

ila kwenye certificates zao wachungaji wanasoma mambo mengi ya maisha hata slaa ndio maana ni mzuri kuliko wenye phd wengi
 
nashukuru wadau wameshakushushia macv ya dr slaa, sasa hata mimi nina swali kama lako, hebu tushushie hapa cv za dr kikwete ili tuone na yeye alivyousotea huo udoctor darasani. Pls mwaga cv zake hapa.

cv ya jamaa jekei ni fupi mno,naisi sio sivi bali ni ubeti,ata mistari3 mingi: ni mkwere,kada wa sisiemuu,kanali na rais wa kuchongwa na nec. ,digrii ya sanaa uchumi last class/gentleman/pass,ana phd ya kwenye gift paper.Kuna jingine?
 
Sokomoko usidanganye watu, Jakaya Kikwete had never been a best student any time at UDSM. Yeye pamoja na marehemu Dito walitoka na iliyozoeleka kuitwa 'gentleman degree'.
 
Jenifa huelewi kuwa degree hiyo kama zilivyo degree nyingine hupatikana kwenye universities zinazotambulika kisheria. Leo hii ukitaka kwenda kuchukua degree ya Divinity pale Tumaini University, ni degree ya kawaida inayofuata mfumo wa kawaida wa chuo kikuu, na inachukuliwa na mtu yeyote bila kujali imani yake. Kwa hiyo kusema 'ni kanisani tu unaweza kupata phd za namna hiyo', ni kutokuja taratibu za vyuo vikuu maana unapoomba kusoma huulizwi kama ni mtu wa kanisani, msikitini au wa chini ya mti ili upewe taratibu tofauti na unaosimamia taratibu za kawaida za vyuo vikuu. Kama alisoma kwa muda gani, nayo haina maana, kwa vile kila kitu hutegemea utaratibu wa chuo hicho na bidii na uwezo wa mwanafunzi. Hivi unajua kuwa Uingereza 'Masters' degree katika vyuo vingi huchukua miezi 9 tu na siyo miezi 24 ya UDSM?
 

Doctor of Philosophy (PHD) in Cannon Law

Mkuu,

Asante kwa kutoa jibu. Maana wengine badala ya kujibu walichoulizwa wanambeza muulizaji. Haya sasa umepata jibu what is next??? Bila shaka ulikuwa na sababu za msingi za kuuliza!!!

Tiba
 
Mkuu,

Hebu nisome tena hapo juu. Naona hukusoma yote au umenielewa vibaya. Nafahamu hizo tofauti. Labda ili uelewe ninachokisema, swali langu ni hili: Umeshawahi kumuona Dr wa uganga mwenye BACHELOR?

Nafahamu kuwa wakimaliza miaka 5 basi wanakwenda moja kwa moja kwenye PhD na huko sintataka sana kueleza maana nina rafiki zangu wengi sana wamesomea uganga.
Kaka sikonge, udokta wa kutibu ni tofauti kabisa na phd. Hata ukimaliza leo MD pale MUHAS utaitwa dr ila huna phd. ukitaka phd lazima ufanye masters then phd au ufanye masters ya hasa by dissertation then u publish enough papers kwenye good accredited journals hapo chuo husika kinaweza ku convert your masters directly to phd after significant reviewing from external strong reviewers (profs). Watu wachache sana huweza ku convert masters to phd kwani huwa ni risk, ukiwa na weak thesis mainly isiyo na enough strong publications unaweza fail na kukosa vyote (yani masters hupewi na phd hupewi). Hivyo mara nyingi supervisors ndo wanakuja na ushauri huo wa ku convert to phd kwa wanafunzi wao baada ya kuona wanafunzi wao ni strong.

Nafikri maelezo yangu yanatosha kukufungua brother.
 
Mbona mtu kama Mwakalinga ana MBA wakati hata Bachelor ya Biashara hakusomea na yeye ni Mhandisi wa IT?

Kuna masomo kama ulishafanya Masters ya kitu fulani, unaweza kuendelea na PhD kwa kujazia tu masomo kadhaa. Tatizo ni kwa watu BUTU shuleni kama wewe ambao unataka kusoma kwa mpangilio wa 1, 2, 3, 4 na ukiona watu wanaenda kwa mpango wa 1, 3, 5 unaona wamefanya makosa na ni feki. Watu wana uwezo wao kijana na ndiyo maana kwa miaka 15 ameweza kufahamika sana Tanzania na hadi kushinda uchaguzi wa Rais. Kama angelikuwa wa ovyo, basi leo usingelikuwa hapa siku nzima ukimjadili. Mbona hutuwekei Nchimbi?

Kijana dunia ni kubwa sana na angalia zaidi ya umbali wa mwisho wa pua yako.
Sikonge...Canon Law, the Canon law of the Catholic Church, is a fully developed legal system, with all the necessary elements: courts, lawyers, judges, a fully articulated legal code and principles of legal interpretation. The academic degrees in canon law are the J.C.B. (Juris Canonici Baccalaureatus, Bachelor of Canon Law, normally taken as a graduate degree), J.C.L. (Juris Canonici Licentiatus, Licentiate of Canon Law) and the J.C.D. (Juris Canonici Doctor, Doctor of Canon Law). Because of its specialized nature, advanced degrees in civil law or theology are normal prerequisites for the study of canon law.

Sasa niambieSlaa kabla ya kuwa enrolled na hiyo canon law amesoma wapi Advance degree ya civil law or thoeology ambayo kama inavyosema hapo ni prerequisites.... kama unafahamu ni nini? na usitudanganye ukimaliza Md Russia siyo sawa na master na kwa taarifa yako Russia MD wanasoma miaka sita na ukirudi tz unakuwa ni sawa na Md alimaliza Tz na internship unafanya...
 
Theology is very relevant but is not going to help anyone design engines or other smart systems. Its all about interpreting the teachings of the CHurch fathers..etc..lol
 
Samahanini nilikuwa sijui kama hii maada imeshajadiliwa lakini kuna kitu kinanishangaza hapa.
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980 1981 ADV DIPLOMA
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977 1981 PHD.nikiangalia hiyo miaka hapo na inaonyesha ni vyuo viwili tofauti na amechukukuwa hiyo Phd bila ya kuwa na undergradute degree au master degree na inaonyesha ameanza kusoma Phd hata bila ya kuwa na advance diploma
kwani amekuwa enrolled kwa kozi ya Adv diploma tayari akiwa ni mwanafunzi wa Phd kwa miaka 3 ni vichekesho kweli kweli...sijui kama angepeleka uozo huo wa certificates zake TCU wangekubali.....kwani mimi Slaa naona ni sawa na watu wa CCM wanaonunua Phd zao au wanazotunukiwa kwani alikuwa hana sifa za kuchukua hiyo Phd na hana sifa hata za kuwa tutor wa chuo
P:S Slaa ni mchakachuaji tu wa elimu kama Mkwere( mkwere pia ana afadhali kwani ana degree )

Ahaaa!! Kumbe tatizo ni kwamba hujui! Nilikuwa nimepandisha munkari wa kibarbaig nikuzabue nipewe ban!
 
Theology is very relevant but is not going to help anyone design engines or other smart systems. Its all about interpreting the teachings of the CHurch fathers..etc..lol

Nor does an ordinary degree in Uchumi!!lol
 
Mnyonge mpeni haki yake jamani JK he was one of the best students pale mlimani na msidhani hiyo degree ya theologia inaweza kufanana na experience ya leadership ya JK. Niwaulize swali dogo tu JK ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani? na slaa ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani?

Swali lako naomba umlinganishe na Malecela kuhusu leadership experience utajua nani awe rais ...nakujibu kutokana na swali lako mana unauliza kama vile kuwatumikia watu muda mrefu ndio kuwas prof
 
Sikonge ...hata unachokiongea hukijui na unalete blaa balaa tu na pengine hiyo shule hujaenda, mimi siyo mbumbumbu kama wewe.kaka tatizo mtu unakuwa na master au Bachelor it doent matter ya nini sasa huyo ulitolea mfano hapo ana MBA na hata hajasomea biashara lakini jua ya kuwa ana Bachelor ya IT na ndiyo maana amechukua MBA.kitu muhimu hapo ana degree ya kwanza wewe inaonyrsha huo utaratibu wa kusoma hata huujui. lakini sasa Slaa hana hiyo degree ya kwanza wala master hana iwe ya kitu chochote kile basi hana. sasa inakuwaje amesomea PHd moja kwa moja na hiyo Phd yake ina masharti ambayo yamekwisha kuwekwa lakini yeye alikuwa hana ngojea ninakuwekea tena inaonyesha wewe hujui kabisa kitu kinaongelewa hapa..Canon Law, the Canon law of the Catholic Church, is a fully developed legal system, with all the necessary elements: courts, lawyers, judges, a fully articulated legal code and principles of legal interpretation. The academic degrees in canon law are the J.C.B. (Juris Canonici Baccalaureatus, Bachelor of Canon Law, normally taken as a graduate degree), J.C.L. (Juris Canonici Licentiatus, Licentiate of Canon Law) and the J.C.D. (Juris Canonici Doctor, Doctor of Canon Law). Because of its specialized nature, advanced degrees in civil law or theology are normal prerequisites for the study of canon law.
Hebu niambie sikonge Slaa alikuwa na hiyo Prerequisites inayotakiwa ili aweze kuchukua hiyo Phd ya canon law..usiwe unaleta blabalaa zako hapo. mimi nataka hivyo tu nitajie amechukua wapi na lini?
Sikonge wewe hunijui mimi kwa hivyo kitu chochote ninakachokukuambia kuhusu elimu yangu haitosaidia kitu lakini nina uhakika kutokana na maelezo yakoninavyoyasoma IQ yako iko below everage katika SD curve wewe ni outlier upande wa left. Slaa ni mchakachuaji wa elimu kama wengine just admit au tuleteeni vielelezo na siyo blabbing..
 
sikonge...canon law, the canon law of the catholic church, is a fully developed legal system, with all the necessary elements: Courts, lawyers, judges, a fully articulated legal code and principles of legal interpretation. The academic degrees in canon law are the j.c.b. (juris canonici baccalaureatus, bachelor of canon law, normally taken as a graduate degree), j.c.l. (juris canonici licentiatus, licentiate of canon law) and the j.c.d. (juris canonici doctor, doctor of canon law). Because of its specialized nature, advanced degrees in civil law or theology are normal prerequisites for the study of canon law.

sasa niambieslaa kabla ya kuwa enrolled na hiyo canon law amesoma wapi advance degree ya civil law or thoeology ambayo kama inavyosema hapo ni prerequisites.... Kama unafahamu ni nini? Na usitudanganye ukimaliza md russia siyo sawa na master na kwa taarifa yako russia md wanasoma miaka sita na ukirudi tz unakuwa ni sawa na md alimaliza tz na internship unafanya...

ni bora mtu ambaye hajuwi lakini anajuwa kuwa hajuwi, ipo siku atajuwa, lakini anaejifanya anajuwa wakati hajui ni mzigo, russia miaka 2 huwa inatumika kusoma lugha, kama hujui kitu ni bora ukae pembeni usome thread za wenzako.
N;b: Naomba cv za dr kikwete hapa.
 
Unasemaje wewe!! Russian miaka 2 inatumika kusoma lugha wewe ndiyo hujui kabisa mimi by professional ni MD na nina class mate wangu na wafanayakazi wenzangu wamesoma Russia MD kwa hivyo najua vizuri sana inaonyesha wewe ndiyo hujui na hata aibu huon.
kwa mara nyengine tena ninasema hii mada ni kujadili Elimu ya Slaa na nimeshakubali ya kuwa Kikwete ana degree moja na hiyo Phd ya kuchakachua na mimi sio mfuasi wa kikwete lakini ninachoshangaza mnampa Slaa sifa ambazo hana kabisa pale mnaposema ni Dr wa kweli wakati siyo?na hamtaki kukubali na ndiyo maana mna deflect hii topic kwa kikwete wakati nimeshakuambia nakubali kuwa yeye ni mchakachuaji lakini siyo ple yake na Slaa pia yumo
 
Mwakalinga hana Bachelor ya IT kwa taarifa yako. Shule yake ilikuwa kama ya Uganga yaani kwa miaka 5 na ukimaliza basi hupewi degree mbili ila moja na watu wa Eastern Europe enzi hizo wanaita Advanced Dipoloma ambayo ni sawa na Masters. Jamaa zangu wengi tu walirudi na hizo Advanced Diplom na wao walikuwa hawana kabisa kitu kiitwacho Bachelor. Kwa maana nyingine, ana Masters mbili, moja ya IT aliyosoma miaka 5 na nyingine ya MBA aliyojisomea mwenyewe na kwenda kufanya mtihani moja tu wa Masters of BA bila Bachelor ya BA. Kijana, hayo ndiyo mambo ya Ulaya kwa wenzetu na si watu wagumu kama wewe hapo na Roho Korosho ya TUKOSE WOTE.

Umesema sikujui, na kweli sikujui na wala sintataka kukujua. Haya mambo ya Pwani usiniletee hapa. Maana kwenye Biblia imeandikwa "Adam akamjua mkewe Eva, na Eva akazaa mtoto..............." Sema SIKUFAHAMU, who knows? Inawezekana tunafahamiana. Halafu unasema mie IQ yangu ni????
Tukija kwenye IQ, mhhh, sijui umefahamu vipi IQ yangu huku hunifahamu. Watu kibao leo wanakuelezea na kukuwekea maelezo na CV ila mwenzetu mwenye IQ kubwa wala huoni.
Hata kama una IQ kubwa basi nina imani graph ya IQ yako iko kama graph ya SINUS...... unaanza +1 na unazidi kushuka hadi 0 na mwisho unakwenda hadi -1. Pole sana na siku nyingine jitahidi walau usishuke chini ya 0 maana unaanza kuwa kama fanatics wanaomchukia Slaa kwa sababu tu kawaamsha Watanzania na wao Ujinga na Umasikini wa Mtanzania, ndiyo mtaji wao (Prof Baregu).

Mwisho:
Kama Tanzania tuna watu kama Chenge waliosomea Havard University na wanakuja kufisadi nchi yao, unafikiri elimu kweli ndiyo jambo la muhimu kwa mtu kuongoza Tanzania? Hii inatakiwa tu kuwa nyongeza na si jambo la muhimu. Kama unaona Slaa ana PhD feki (alipanda bila kufika Darini), je mambo aliyoyafanya kwa Taifa hili unayaonaje? Hebu walinganishe yeye na huyu kaka yangu Lipumba ambaye ni Professor kweli wa Uchumi na Mwenyekiti Wa Chama cha CUF kilicho kwenye ndoa na CCM na huku anajiita yeye ni MPINZANI. Unaona wameifanyia nini nchi yao? Mchukue Dr Hosea wa TAKURURU, Prof Mukandara wa UDSM, na wengine wengi ambao wameingia kwenye UFISADI na wasomi wazima kushabikia maisha ya Uvivu na kuishi kwa Ujanjaujanja tu. Muone aibu basi nyie mnaojiita mna IQ kubwa. Sisi na Rais wetu, Dr wa ukweli tutaendelea kula na nyie Sahani moja HADI KIELEWEKE.

PEOPLEEEEE'S POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRR!!!!!!!!!!!!!!

Sikonge ...hata unachokiongea hukijui na unalete blaa balaa tu na pengine hiyo shule hujaenda, mimi siyo mbumbumbu kama wewe.kaka tatizo mtu unakuwa na master au Bachelor it doent matter ya nini sasa huyo ulitolea mfano hapo ana MBA na hata hajasomea biashara lakini jua ya kuwa ana Bachelor ya IT na ndiyo maana amechukua MBA.kitu muhimu hapo ana degree ya kwanza wewe inaonyrsha huo utaratibu wa kusoma hata huujui. lakini sasa Slaa hana hiyo degree ya kwanza wala master hana iwe ya kitu chochote kile basi hana. sasa inakuwaje amesomea PHd moja kwa moja na hiyo Phd yake ina masharti ambayo yamekwisha kuwekwa lakini yeye alikuwa hana ngojea ninakuwekea tena inaonyesha wewe hujui kabisa kitu kinaongelewa hapa..Canon Law, the Canon law of the Catholic Church, is a fully developed legal system, with all the necessary elements: courts, lawyers, judges, a fully articulated legal code and principles of legal interpretation. The academic degrees in canon law are the J.C.B. (Juris Canonici Baccalaureatus, Bachelor of Canon Law, normally taken as a graduate degree), J.C.L. (Juris Canonici Licentiatus, Licentiate of Canon Law) and the J.C.D. (Juris Canonici Doctor, Doctor of Canon Law). Because of its specialized nature, advanced degrees in civil law or theology are normal prerequisites for the study of canon law.
Hebu niambie sikonge Slaa alikuwa na hiyo Prerequisites inayotakiwa ili aweze kuchukua hiyo Phd ya canon law..usiwe unaleta blabalaa zako hapo. mimi nataka hivyo tu nitajie amechukua wapi na lini?
Sikonge wewe hunijui mimi kwa hivyo kitu chochote ninakachokukuambia kuhusu elimu yangu haitosaidia kitu lakini nina uhakika kutokana na maelezo yakoninavyoyasoma IQ yako iko below everage katika SD curve wewe ni outlier upande wa left. Slaa ni mchakachuaji wa elimu kama wengine just admit au tuleteeni vielelezo na siyo blabbing..
 
Kizibao,
Nadhani University zilizotajwa zipo na ni vizuri mtu akitaka kujielimisha vizuri akawasiliane na hiyo au vyuo vikuu vilivyotajwa kama Dr. Slaa alivyowasiliana na Vyuo vikuu on line kujua kama ni vyuo vinavyotambulika au la na kama Degree zao zinatambulika au la. Utafiti daima ni jambo jema ili mtu afanye informed conclusions. Thanks Wanajamvi.

Sikonge...Canon Law, the Canon law of the Catholic Church, is a fully developed legal system, with all the necessary elements: courts, lawyers, judges, a fully articulated legal code and principles of legal interpretation. The academic degrees in canon law are the J.C.B. (Juris Canonici Baccalaureatus, Bachelor of Canon Law, normally taken as a graduate degree), J.C.L. (Juris Canonici Licentiatus, Licentiate of Canon Law) and the J.C.D. (Juris Canonici Doctor, Doctor of Canon Law). Because of its specialized nature, advanced degrees in civil law or theology are normal prerequisites for the study of canon law.

Sasa niambieSlaa kabla ya kuwa enrolled na hiyo canon law amesoma wapi Advance degree ya civil law or thoeology ambayo kama inavyosema hapo ni prerequisites.... kama unafahamu ni nini? na usitudanganye ukimaliza Md Russia siyo sawa na master na kwa taarifa yako Russia MD wanasoma miaka sita na ukirudi tz unakuwa ni sawa na Md alimaliza Tz na internship unafanya...
 
-kwa karibu sana Dr Slaa ameanza kuwatumikia wananchi tangu miaka 15 iliopita na amewaletea maendeleo
na Kikwete amewatumikia wananchi mingi tuu na kuwaongezea ugumu wa maisha, na hata sasa wananchi hawajamchagua na analazimisha kuwatumikia ili hali ameshashindwa mda mrefu.
 
Back
Top Bottom