C.V ya Dr. Slaa hiyoooo!!! Tunaomba na ya JK wa ukweli.

Kasomea sheria ya dini, na certificate ya afya ya macho. Ukitaka miwani nini, atakutoa. And obviously you can see, he used to be a catholic priest. He also worked extensively with Mbulu Diocese development plans. Si unajua tena faith based development agenda zilivyo. He used to be kada wa CCM and ventured to opposition (just like Shibuda, Mabere, Wasira, Masumbuko Lamwai, Mrema na wengine) and is accountable for Karatu constituency in the last 15 years.

Recently waTanzania decided that he is unfit for the office, he received 20 something percent of all votes. He has been able to create a cult like society, especially online. capitalizing on disgruntled yutes by using only one word "Ufisadi". His political future? we don't know, he will on late 60s when comes 2015. We would like to think, he has few more years of making noise in majukwaa na TV but definitely no presidential. He is the face of Chadema, so he goes down, Chadema goes down.
 
Kasomea sheria ya dini, na certificate ya afya ya macho. Ukitaka miwani nini, atakutoa. And obviously you can see, he used to be a catholic priest. He also worked extensively with Mbulu Diocese development plans. Si unajua tena faith based development agenda zilivyo. He used to be kada wa CCM and ventured to opposition (just like Shibuda, Mabere, Wasira, Masumbuko Lamwai, Mrema na wengine) and is accountable for Karatu constituency in the last 15 years.

Recently waTanzania decided that he is unfit for the office, he received 20 something percent of all votes. He has been able to create a cult like society, especially online. capitalizing on disgruntled yutes by using only one word "Ufisadi". His political future? we don't know, he will on late 60s when comes 2015. We would like to think, he has few more years of making noise in majukwaa na TV but definitely no presidential. He is the face of Chadema, so he goes down, Chadema goes down.


Kama kuna hospitali hapo karibu nenda kamuone daktari akufanyie full check-up kabla hujachelewa..........
 
KakaKiiza.Two wrong doesnt make right...mnavyoongea ni kuwa Dr Slaa yuko right kutudanganya na Elimu yake ya kubabaisha babaisha kama walivyokuwa watu wa CCM au wengine..mbona mnakuwa too defensive hivi nieleze kwa system ya elimu ya tanzania ni possible kuwa enrolled katika kozi ya Phd ya advance diploma huna?msitushuhulishe bwana Slaa ni sawa na CCM wengine tu
 
Samahanini nilikuwa sijui kama hii maada imeshajadiliwa lakini kuna kitu kinanishangaza hapa.
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980 1981 ADV DIPLOMA
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977 1981 PHD.nikiangalia hiyo miaka hapo na inaonyesha ni vyuo viwili tofauti na amechukukuwa hiyo Phd bila ya kuwa na undergradute degree au master degree na inaonyesha ameanza kusoma Phd hata bila ya kuwa na advance diploma
kwani amekuwa enrolled kwa kozi ya Adv diploma tayari akiwa ni mwanafunzi wa Phd kwa miaka 3 ni vichekesho kweli kweli...sijui kama angepeleka uozo huo wa certificates zake TCU wangekubali.....kwani mimi Slaa naona ni sawa na watu wa CCM wanaonunua Phd zao au wanazotunukiwa kwani alikuwa hana sifa za kuchukua hiyo Phd na hana sifa hata za kuwa tutor wa chuo
P:S Slaa ni mchakachuaji tu wa elimu kama Mkwere( mkwere pia ana afadhali kwani ana degree )


Hapo ndo ujue kuwa huo ni mtambo! Kasoma vitu 2 kwa wakati mmoja; kasoma PhD bila Masters, Adv diploma ni equivalent ya undergraduate degree.
 
Mmeshamuibia na sasa moto utakuwakieni akianza kufanya vitu vyake.

Hili lilijadiliwa sana hapa na inatosha tu kurudi kwenye mijadala ya zamani.

Subiri mwaka 2015 ndiyo uanze kurusha makombora. Kwa sasa tunasubiri jinsi ya kuwasulubu NEC kwanza na wizi wao. Tukimaliza, tunakuja na watu waliojitangaza kushinda leo na kujiapisha kesho. Siku zinavyokwenda, ndiyo utaona kama hiyo PhD ya Cannon Law ni elimu ya kuungaunga au ni elimu kweli.

Kama walivyo wasomi wengi, hata vitabu ameshaandika (wahi uvisome na wewe). Sijui Dr na MaDr wenu wameandika nini hadi leo, nina maana Mahanga, Nchimbi, Malecela, Nagu, duuu, mnao wengi!!!!
 
Hapo ndo ujue kuwa huo ni mtambo! Kasoma vitu 2 kwa wakati mmoja; kasoma PhD bila Masters, Adv diploma ni equivalent ya undergraduate degree.

mie ninavyojua mtu ana upgrade masters to phd ikiwa ana enough publications (at least 5 or 6) sasa mbona tukimgoogle Slaa wilbroad hatuoni chochote kwenye google scholar? Nyie ni waongo huyo ni padre mwenye udokta wakupewa na catholic tu. Among PhD holders hawezi kusema yeye ni doctor bwana. Yeye na JK mule mule.
 
We can.... kwa sheria za wapi advance diploma ni equivalent na Undergraduate degree... inaonyesha wewe ni mbumbumbu kweli ameanza Phd hata hiyo advance dip hana kama huna la kuongea usiongee kwani unanifanya mimi nitapike... kila kitu kina utaratibu wake kijana.wewe jaribu kuomba chuo chochote duniani na certificate tu kama utakubaliwa hata kama una straight As kwenye hizo certificates....Nilichotaka kujua nimeshajua ya kuwa Dr slaa ni bogus kama wengine. Watu wanasema ukipenda chongo unaita kengeza..........sasa Slaa sijui kama ana Kengeza ...Im not sure
 
Basi ina maana ulikuwa UNAJUA vibaya..................

Ukisomea U-Daktari wa binadamu au Wanyama, ukimaliza unakuwa na nini? Maana hawa watu huwa wanaenda kufanya PhD moja kwa moja. Pia watu waliosoma nchi kama Urusi zamani, walikuwa wakimaliza shule ya miaka 4/5 basi wanakuwa na Masters moja kwa moja.

Utaratibu wa shule unapishana kutoka nchi moja hadi nyingine. Ila tu inatakiwa hiyo shule, utaratibu wake uwe unajulikana kwenye wizara ya elimu husika ya nchi hiyo. Ndiyo maana PhD za akina Nchimbi zina walakini kwa sababu walisoma kwenye shule za uchochoroni ambazo hata Wizara ya elimu haivitambui. Akina Makongoro Mahanga, hadi anakuwa hajui jinsi ya kuchakachua, lohh!!!!
mie ninavyojua mtu ana upgrade masters to phd ikiwa ana enough publications (at least 5 or 6) sasa mbona tukimgoogle Slaa wilbroad hatuoni chochote kwenye google scholar? Nyie ni waongo huyo ni padre mwenye udokta wakupewa na catholic tu. Among PhD holders hawezi kusema yeye ni doctor bwana. Yeye na JK mule mule.
 
Nchi ya VATICAN ndiyo sheria zao. Na ndiyo maana wanaita Cannon Law. Au hufahamu maana ya hilo neno?

KWa taarifa yako, watu kama akina Sarungi walisoma nchi za Eastern Europe, ukiangalia vyeti vyao utakuta ana Advanced Diplom. Wao ndivyo wanavyosema na hawasemi Masters. Sasa leo sema Sarungu alikuwa Dr Feki wa mifupa.............. Bogus hapa ni nani?
We can.... kwa sheria za wapi advance diploma ni equivalent na Undergraduate degree... inaonyesha wewe ni mbumbumbu kweli ameanza Phd hata hiyo advance dip hana kama huna la kuongea usiongee kwani unanifanya mimi nitapike... kila kitu kina utaratibu wake kijana.wewe jaribu kuomba chuo chochote duniani na certificate tu kama utakubaliwa hata kama una straight As kwenye hizo certificates....Nilichotaka kujua nimeshajua ya kuwa Dr slaa ni bogus kama wengine. Watu wanasema ukipenda chongo unaita kengeza..........sasa Slaa sijui kama ana Kengeza ...Im not sure
 
Mnyonge mpeni haki yake jamani JK he was one of the best students pale mlimani na msidhani hiyo degree ya theologia inaweza kufanana na experience ya leadership ya JK. Niwaulize swali dogo tu JK ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani? na slaa ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani?

Alipata degree siyo kwa merit ila kwa sababu ya UWT kwa msaada wa Msekwa
 
Kasomea sheria ya dini, na certificate ya afya ya macho. Ukitaka miwani nini, atakutoa. And obviously you can see, he used to be a catholic priest. He also worked extensively with Mbulu Diocese development plans. Si unajua tena faith based development agenda zilivyo. He used to be kada wa CCM and ventured to opposition (just like Shibuda, Mabere, Wasira, Masumbuko Lamwai, Mrema na wengine) and is accountable for Karatu constituency in the last 15 years.

Recently waTanzania decided that he is unfit for the office, he received 20 something percent of all votes. He has been able to create a cult like society, especially online. capitalizing on disgruntled yutes by using only one word "Ufisadi". His political future? we don't know, he will on late 60s when comes 2015. We would like to think, he has few more years of making noise in majukwaa na TV but definitely no presidential. He is the face of Chadema, so he goes down, Chadema goes down.

This is another lunatic person!atakuwa ametoroka hospitali ya Milembe iliyopo Dodoma!!jamani tumpeleke hospitali akamalizie dozi yake!!
 
Basi ina maana ulikuwa UNAJUA vibaya..................

Ukisomea U-Daktari wa binadamu au Wanyama, ukimaliza unakuwa na nini? Maana hawa watu huwa wanaenda kufanya PhD moja kwa moja. Pia watu waliosoma nchi kama Urusi zamani, walikuwa wakimaliza shule ya miaka 4/5 basi wanakuwa na Masters moja kwa moja.

Utaratibu wa shule unapishana kutoka nchi moja hadi nyingine. Ila tu inatakiwa hiyo shule, utaratibu wake uwe unajulikana kwenye wizara ya elimu husika ya nchi hiyo. Ndiyo maana PhD za akina Nchimbi zina walakini kwa sababu walisoma kwenye shule za uchochoroni ambazo hata Wizara ya elimu haivitambui. Akina Makongoro Mahanga, hadi anakuwa hajui jinsi ya kuchakachua, lohh!!!!

Kaka sikonge, udokta wa kutibu ni tofauti kabisa na phd. Hata ukimaliza leo MD pale MUHAS utaitwa dr ila huna phd. ukitaka phd lazima ufanye masters then phd au ufanye masters ya hasa by dissertation then u publish enough papers kwenye good accredited journals hapo chuo husika kinaweza ku convert your masters directly to phd after significant reviewing from external strong reviewers (profs). Watu wachache sana huweza ku convert masters to phd kwani huwa ni risk, ukiwa na weak thesis mainly isiyo na enough strong publications unaweza fail na kukosa vyote (yani masters hupewi na phd hupewi). Hivyo mara nyingi supervisors ndo wanakuja na ushauri huo wa ku convert to phd kwa wanafunzi wao baada ya kuona wanafunzi wao ni strong.

Nafikri maelezo yangu yanatosha kukufungua brother.
 
Sikonge...Canon Law, the Canon law of the Catholic Church, is a fully developed legal system, with all the necessary elements: courts, lawyers, judges, a fully articulated legal code and principles of legal interpretation. The academic degrees in canon law are the J.C.B. (Juris Canonici Baccalaureatus, Bachelor of Canon Law, normally taken as a graduate degree), J.C.L. (Juris Canonici Licentiatus, Licentiate of Canon Law) and the J.C.D. (Juris Canonici Doctor, Doctor of Canon Law). Because of its specialized nature, advanced degrees in civil law or theology are normal prerequisites for the study of canon law.

Sasa niambieSlaa kabla ya kuwa enrolled na hiyo canon law amesoma wapi Advance degree ya civil law or thoeology ambayo kama inavyosema hapo ni prerequisites.... kama unafahamu ni nini? na usitudanganye ukimaliza Md Russia siyo sawa na master na kwa taarifa yako Russia MD wanasoma miaka sita na ukirudi tz unakuwa ni sawa na Md alimaliza Tz na internship unafanya...
 
Swala hapa sio PhD, nadhani issue in uwezo wa mtu kuongoza. Uwezo wa uongozi unapimwa kwa vitu vingi sana. Tukitumia vigezo vyote pamoja muda ambao mtu katumikia nchi, then Dr. Slaa si lolote mbele ya JK.
 
Uliza Kiwete(JK) ameanza kuitumikia lini CCM? nakujibu kuwa ameanza tokea siku aliyozaliwa, ila kuwatumikia wananchi bado hajaanza labda ataanza baada ya kufa!!!!!!:smile:
 
Labda kwa kukujulisha ni kwamba JK hajawahi kuwa one of the best student UDSM na aliondoka na GPA ya gentleman (below 3). Na huwa tunasema GPA sio ishu endapo angeonyesha uwezo mkubwa wa kufikiri, kupembua mambo na huru katika kufanya maamuzi. According to Lipumba JK alipokuwa UDSM alikuwa ni mtu wa mizaha na kuchekacheka tu.
 
KakaKiiza.Two wrong doesnt make right...mnavyoongea ni kuwa Dr Slaa yuko right kutudanganya na Elimu yake ya kubabaisha babaisha kama walivyokuwa watu wa CCM au wengine..mbona mnakuwa too defensive hivi nieleze kwa system ya elimu ya tanzania ni possible kuwa enrolled katika kozi ya Phd ya advance diploma huna?msitushuhulishe bwana Slaa ni sawa na CCM wengine tu

:tape: search for truth.. nothing more but truth.. for truth will set you free.
 
Si mchezo naona sasa watu wanataka kuibadilisha maada sisi hapa hatujadili uchapa kazi wa mtu kwani CCM wanajulikana uchapa kazi wao na hii nchi wameifikisha wapi tangu kupata uhuru mpaka leo tunaona jinsi gani watu walivyo maskini hilo halitaki tochi.lakini tunachojadili hapa sifa nyingi sana alimwagiwa Dr Slaa ya kuwa yeye ni msomi wa kweli na Phd ya kweli na haijachakachuliwa...lakini tukiangalia hiyo CV yake mliyotuletea inatupa masuala mengi sana hata kuliko majibu na nyinyi pia hamuwezi kuyajibu hayo masuala yayotokana na hivyo educational background yake..lakini mmekuwa vipofu tu...na nina uhakika kama hiyo Cv ya Slaa amekuja nayo mtu mwengi basi mngemkashifu sana tu..kwa hivyo usipende kurusha mawe wakati mnakaa nyumba ya vioo....Slaa ni bogus sawa na wale waliochukua degree open university
 
Mnyonge mpeni haki yake jamani JK he was one of the best students pale mlimani na msidhani hiyo degree ya theologia inaweza kufanana na experience ya leadership ya JK. Niwaulize swali dogo tu JK ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani? na slaa ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani?

Pima vitu katika pande zote 3 bob(3D) Mramba ameanza kutumikia wananchi kabla ya jk na ni mwizi wa kutupa. Kuanza kutumikia nchi mwaka 47 siyo kuwa ndio unakuwa bora. Je tusemeje kwa mtu ka ma Zito kama tukitumia hiyo assumption yako? Yeye katika kipindi kifupi tayari kaonesha uwezo kuliko hata huyo kilaza wako jk.
 
kmwemtsi.. hilo la Jk tunakubaliana sote mimi sijawahi kumsifi na elimu yake na hata hiyo Phd yake pia(but at least amesoma undergraduate hata kama GPA yake iko below 3). lakini tatizo linakuja hapa mnatudanganya sana linapokuwa suala la elimu ya Slaa na mnakuwa wakali sana na huwa mnatoa mifano kibao ya watu wengine na maovu yao ili tuone maovu ya Slaa ni kitu kinachokubalika.....sasa mnakuwa wanafiki kwa mnamdhalilisha mtu kwa kosa lile ambalo Slaa analo huku yeye mkimwagia sifa kibao... kwa nini mnakuwa selective?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom