C.V ya Dr. Slaa hiyoooo!!! Tunaomba na ya JK wa ukweli.


https://www.jamiiforums.com/members/sokomoko.html
user-online.png

aaah ndio alipoipatia senkyu
 
ajabu, mnataka CV ya Dr. Slaa sasa
kwani milkuwa wapi wakati wa kampeni za uraisi, kila ktu kilikuwa peupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee:doh:
 
DR SLAA ni Dr wa Kweli kwa kusomea na si wa kupewa!!!! isije ikawa unafikiri udokta wake ni chakupewa!!!!!!!!!!! DR SLAA NI DOKTA WA PHILOSOPHY with Dergees in Theology

“Canon Law, the Canon law of the Catholic Church, is a fully developed legal system, with all the necessary elements: courts, lawyers, judges, a fully articulated legal code and principles of legal interpretation. The academic degrees in canon law are the J.C.B. (Juris Canonici Baccalaureatus, Bachelor of Canon Law, normally taken as a graduate degree), J.C.L. (Juris Canonici Licentiatus, Licentiate of Canon Law) and the J.C.D. (Juris Canonici Doctor, Doctor of Canon Law). Because of its specialized nature, advanced degrees in civil law or theology are normal prerequisites for the study of canon law.

Early sources
…Roman ecclesiastical courts tend to follow the Roman Law style of continental Europe, featuring collegiate panels of judges and an investigative form of proceeding, called "inquisitorial", from the Latin "inquirere", to enquire. This is in contrast to the adversarial form of proceeding found in the Common Law system of English and US law, which features such things as juries and single judges.

In the thirteenth century, the Roman Church began to collect and organise its canon law, which after a millennium of development had become a complex and difficult system of interpretation and cross-referencing. In 1582 a compilation was made of the Decreta, Extra, the Sext, the Clementines and the Extravagantes (that is, the decretals of the popes from Pope John XXII to Pope Sixtus IV).”

http://en.wikipedia.org/wiki/Canon_law_(Catholic_Church)
 
PhD ya heshima. amesomea wapi hiyo heshima? na inatusaidia nini sisi?
Elimu ni pale tu unapoweza kupembua mambo, kuwa critical thinker, kupima na ku-dare to do what possibly right kulingana na upembuzi uliofanywa.

Sasa PhD ya Heshima inaweza kumuongezea mtu mambo tajwa hapo juu? Kama haiwezi basi ni "shake well"

Kupata PHD ya heshima huna haja ya kukaa darasani. Ni jopo la wanazuoni wa chuo husika ndio hukaa wakaamua kama wampe John Malecela, Salim Ahmed Salim au Karume.

Labda ungehoji hao waliompa PHD sio yeye binafsi!
 
Mnyonge mpeni haki yake jamani JK he was one of the best students pale mlimani na msidhani hiyo degree ya theologia inaweza kufanana na experience ya leadership ya JK. Niwaulize swali dogo tu JK ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani? na slaa ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani?

suala si lini kuanza utumishi bali ni nini matokeo ya utumishi wa mtu. JK alianza utumishi kabla ya kuzaliwa kwa baadhi ya wana JF, mpaka sasa watu wanajiuliza akumbukwe kwa kitu gani. Dr. Slaa ana miaka michache ya utumishi kwa taifa hili, lakini joto lake mafisadi wamelipata na wanyonge wa nchi hii wamepata matumaini ya ukombozi, watu hawajiulizi kuwa Dr. Slaa atakumbukwa kwa kitu gani
 
Mnyonge mpeni haki yake jamani JK he was one of the best students pale mlimani na msidhani hiyo degree ya theologia inaweza kufanana na experience ya leadership ya JK. Niwaulize swali dogo tu JK ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani? na slaa ameanza kuwatumikia wananchi mwaka gani?

Kwanza toa 'definition' ya wananchi ndipo tuanze kulinganisha nani alianza kuwatumikia wananchi au nani ana uzoefu mwingi wa uongozi kuliko mwingine.
 
Unaweza kunieleza kwanini ni ujinga?

Kwani sina haki ya kuuliza kwa kile nisichokijua?

JK najua ana PHD ya heshima ambazo hupewa viongozi wengi na watu mashuhuri duniani hata Nyerere anayo. Na ni utaratibu wa vyuo vingi kutoa hizo PHD za heshima wakati wa mahafali.

Kikwete hana PH.D kwa vile hakuna kitu kinachoitwa Ph.D ya heshima labda za kudanganywa. Digrii za heshima kama alizo nazo Kikwete haziitwi Ph.D; zina majina yake maalumu kama vile Doctor of Letters, Doctor of Humanities, Honorary Doctorate in -so-and-so ...., na majina ya namna hiyo yanayoonyesha kuwa ni ya kubandikwa tu na inaweza kung'olewa wakati wowote. Digrii za Kikwete ninazojua ni Honorary Doctorate Degree in International Relations (Istanbul), Doctor of Humane Letters-Honoris Causa (Kenyatta), honorary doctorate degree in Law (St. Thomas).
 
Unajua tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mpaka uchaguzi wenyewe tulikuwa tunasikia rhetoric za watu wengi sana ya kuwa Dr Slaa ni Dr wa kweli na si mchakachuaji..lakini hakuna aliyetueleza historia yake ya masomo na amesomea Phd ya nini hasa ili na sisi kutuwezesha kumkubali kama ni Dr wa kweli na siyo akam wengine!
Hebu tuelezeni amesomea nini hasa na kama kuna publications zozote ambazo amepublish tuleteeni hapa kwani mimi nimejaribu ku google sikuzipta. na inanifanya niamini Slaa ni sawa tu kwa upande wa waislamu mtu ameenda kusoma saudi au misri kwa zaidi ya miaka 10 na huishia kuitwa ustadhi na kuwa imamu msikitini lakini kwa dini nyengine mtu huyo anakuwa msomi mkubwa sana insuch away anamwagiwa sifa kemkem za usomi wake katika jamii forums..
 
WE KIZIBAO NTAKUZABA KIBAO WEE!!! MBONA UNALETA HOJA AMBAZO ZIPO WAZI KABISA HATA KWENYE MTANDAO UNAWEZA KUPATA...INAONYESHA JINSI GANI USIVYO MAKINISASA KWA KUKUONEA HURUMA NGOJA NIKUSAIDIE NDUGU YANGU.......
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993


TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969

Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960


 
Unajua tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mpaka uchaguzi wenyewe tulikuwa tunasikia rhetoric za watu wengi sana ya kuwa Dr Slaa ni Dr wa kweli na si mchakachuaji..lakini hakuna aliyetueleza historia yake ya masomo na amesomea Phd ya nini hasa ili na sisi kutuwezesha kumkubali kama ni Dr wa kweli na siyo akam wengine!
Hebu tuelezeni amesomea nini hasa na kama kuna publications zozote ambazo amepublish tuleteeni hapa kwani mimi nimejaribu ku google sikuzipta. na inanifanya niamini Slaa ni sawa tu kwa upande wa waislamu mtu ameenda kusoma saudi au misri kwa zaidi ya miaka 10 na huishia kuitwa ustadhi na kuwa imamu msikitini lakini kwa dini nyengine mtu huyo anakuwa msomi mkubwa sana insuch away anamwagiwa sifa kemkem za usomi wake katika jamii forums..
Kizibao vipi hili lilishajadiliwa mara nyingi tu hapa ndani!
 
d Slaa
2940.png
Surname Slaa First Names Wilbrod Peter Alternate Name Title Dr. Country of Birth Tanzania Positions From To Organisation Position 2006 Chama cha Demokrasia na Maendeleo Secretary General 2005 Karatu Constituency MP for Karatu Date of Birth 29 Oct 1948 Political Affiliation CHADEMA eMail Telephone Address Notes EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993 1993 CERTIFICATE
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985 1985 CERTIFICATE
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980 1981 ADV DIPLOMA
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977 1981 PHD
Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974 1977 CERTIFICATE
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972 1973 CERTIFICATE
Itaga Seminary School A-Level Education 1970 1971 HIGH SCHOOL
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966 1969 SECONDARY
Karatu Primary School Primary Education 1962 1965 PRIMARY
Daudi Primary School Primary Education 1961 1961 PRIMARY
Kwermusl Primary School(Mbulu) Primary Education 1958 1960 PRIMARY
--------------------------------------------------------------------------------
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list
--------------------------------------------------------------------------------
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Tanzania Society for Blind Managing Director 1992 1998
Tanzania Episcopal Conference Secretary General 1985 1991
Diocese of Mbulu Development Director 1982 1985
Diocese of Mbulu Vicar General 1982 1985
Diocese of Mbulu Development Director 1977 1979
Diocese of Mbulu - Roman Catholic Church Padre 1977 1991
--------------------------------------------------------------------------------
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
CHADEMA Principal Secretary 2002
CHADEMA Vice Chairman 1998 2002
CHADEMA Member of Parliament (Karatu Constituency) 1995 Todate
CHADEMA Member of National Executive Committee 1995 -
Chama Cha Mapinduzi - CCM Secretary Foreign Branch(Rome) 1980 1982
Youth Union -TANU Secretary 1974 1977
TANU Chairman (Kipalapala Branch) 1974 1977
[ Retrieved on 13/7/2006 - www.parliament.go.tz ]

Sio mwenzako wewe huyu kasoma, so acha kumchokonoa chokonoa maana he is far academically, intellectually and he is a descent and wise person.
 
Unajua tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mpaka uchaguzi wenyewe tulikuwa tunasikia rhetoric za watu wengi sana ya kuwa Dr Slaa ni Dr wa kweli na si mchakachuaji..lakini hakuna aliyetueleza historia yake ya masomo na amesomea Phd ya nini hasa ili na sisi kutuwezesha kumkubali kama ni Dr wa kweli na siyo akam wengine!
Hebu tuelezeni amesomea nini hasa na kama kuna publications zozote ambazo amepublish tuleteeni hapa kwani mimi nimejaribu ku google sikuzipta. na inanifanya niamini Slaa ni sawa tu kwa upande wa waislamu mtu ameenda kusoma saudi au misri kwa zaidi ya miaka 10 na huishia kuitwa ustadhi na kuwa imamu msikitini lakini kwa dini nyengine mtu huyo anakuwa msomi mkubwa sana insuch away anamwagiwa sifa kemkem za usomi wake katika jamii forums..

Kizibao, Hii inshu tulishaijadili wakati wa kuomba udhamini wa Dr Slaa mikoani, tukarudia tena na tena na tena maana yake kuna watu kibao walikuwa wanatumwa hapa kuchafua hewa kila siku lakini wanaJF walisimama kidete kuwaelimisha kuhusu elimu ya Dr Slaa. Hata CV yake basi ipo wazi mkuu. Anyway, nadhani umepata jibu kupitia wadau hapo juu.
 
unajua tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mpaka uchaguzi wenyewe tulikuwa tunasikia rhetoric za watu wengi sana ya kuwa dr slaa ni dr wa kweli na si mchakachuaji..lakini hakuna aliyetueleza historia yake ya masomo na amesomea phd ya nini hasa ili na sisi kutuwezesha kumkubali kama ni dr wa kweli na siyo akam wengine!
Hebu tuelezeni amesomea nini hasa na kama kuna publications zozote ambazo amepublish tuleteeni hapa kwani mimi nimejaribu ku google sikuzipta. Na inanifanya niamini slaa ni sawa tu kwa upande wa waislamu mtu ameenda kusoma saudi au misri kwa zaidi ya miaka 10 na huishia kuitwa ustadhi na kuwa imamu msikitini lakini kwa dini nyengine mtu huyo anakuwa msomi mkubwa sana insuch away anamwagiwa sifa kemkem za usomi wake katika jamii forums..


nashukuru wadau wameshakushushia macv ya dr slaa, sasa hata mimi nina swali kama lako, hebu tushushie hapa cv za dr kikwete ili tuone na yeye alivyousotea huo udoctor darasani. Pls mwaga cv zake hapa.
 
seniorita:washeikh wa kiislam imeingiaje hapo?kauliza dr.slaa hajauliza padri slaa!jamani msifanye jf ya dini moja!MODS angalia huyo
 
Samahanini nilikuwa sijui kama hii maada imeshajadiliwa lakini kuna kitu kinanishangaza hapa.
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980 1981 ADV DIPLOMA
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977 1981 PHD.nikiangalia hiyo miaka hapo na inaonyesha ni vyuo viwili tofauti na amechukukuwa hiyo Phd bila ya kuwa na undergradute degree au master degree na inaonyesha ameanza kusoma Phd hata bila ya kuwa na advance diploma
kwani amekuwa enrolled kwa kozi ya Adv diploma tayari akiwa ni mwanafunzi wa Phd kwa miaka 3 ni vichekesho kweli kweli...sijui kama angepeleka uozo huo wa certificates zake TCU wangekubali.....kwani mimi Slaa naona ni sawa na watu wa CCM wanaonunua Phd zao au wanazotunukiwa kwani alikuwa hana sifa za kuchukua hiyo Phd na hana sifa hata za kuwa tutor wa chuo
P:S Slaa ni mchakachuaji tu wa elimu kama Mkwere( mkwere pia ana afadhali kwani ana degree )
 
Mtu anaitwa kizibao na akili yake nikama kizibao msameheni mimi nawaombeni kama kakayenyu!!!tulikwisha jadili hapa lakini nashukuru kwa kumpa history kwa ufupi kama anawasiwasi aulizetena tupo kwa ajili yawatu kama kizibao!!ila mwisho namtuma hapa atuletee Biography ya JOHN TENDWA tunashida nayo hatumjui niwapi alitokea na Mkapa alimuibua wapi!!asante kwa hilo!!
 
Back
Top Bottom