CUF wana pewa taraka hivi karibu wawe wasimbeSiwezi kuamini leo C.U.F kumwacha mwanandoa mwenza C.C.M anakufa Arumeru.nakushauri uende kumsaidia kama IGUNGA.
Ndoa na ccm inaombwa lumumba siyo ikulu. Kwa akili yako finyu hujui hata kwamba Ikulu siyo ya ccm bali ya watz wote?Chadema nao walikwenda kuomba ndoa Ikulu wakitaka kuwa mke wa pili wa CCM imeashaje hii? Posa ilikataliwa?
Siwezi kuamini leo C.U.F kumwacha mwanandoa mwenza C.C.M anakufa Arumeru.nakushauri uende kumsaidia kama IGUNGA.
Du! CUF kweli ni WANYONGAJI wa democrasia. Week iliyopita walisidiwa na CCM na kutumia mbinu yao (CCM) ambayo ni ya kununua watu ili wahudhurie mikutano na Lipumba akapokelewa kwa mbwembwe ili waonekane wanapendwa na kuaaminisha wa TZ kuwa nao ni kama CDM.Siwezi kuamini leo C.U.F kumwacha mwanandoa mwenza C.C.M anakufa Arumeru.nakushauri uende kumsaidia kama IGUNGA.
Arumeru c igunga,no mosqu and vibandiko.ila ndoa yao ipo fresh zenji
Siwezi kuamini leo C.U.F kumwacha mwanandoa mwenza C.C.M anakufa Arumeru.nakushauri uende kumsaidia kama IGUNGA.
Chadema nao walikwenda kuomba ndoa Ikulu wakitaka kuwa mke wa pili wa CCM imeashaje hii? Posa ilikataliwa?
nikitaka kukutukana naangalia avata yako.Chadema nao walikwenda kuomba ndoa Ikulu wakitaka kuwa mke wa pili wa CCM imeashaje hii? Posa ilikataliwa?
nikitaka kukutukana naangalia avata yako.