Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
- Thread starter
- #41
Hahaha.... kweli saa nyingine madingi tunalemaza watoto bana. Mama anampa hela na mkwala kibao, we unamwita chemba unamwongezea kiaina....Hahahahah!
Ndio km na ww unavofaidi kwa matesha,
Wababa wanakuaga washkaji sana sio wanoko km wamama,
Hela habanii hawana mambo ya kusema ukizoea pesa ni vibaya km mama,
aisee kupendwa raha sana,naimajin hiyo siku ya kusema Bye Dady!!!!