Ndg zangu.
Nawapenda wote ila nasikitika kuwaambia kuwa 2taonana tar 15 . Ingawa baba kasema 2kacheze kwa majirani ila kweli kule ha2japazoea kama hapa home! Kwaherini.
Kalikizo ndio kameisha,ambako kwa upande wangu siku 2 za mwanzo niliugua but nilipoenda kule kwa jirani nikakutana na ndugu wengi wa huku na nikaendlea na maisha japo hapanogi km hm,
Ndipo nilipogundua JFni home sweet home karibun tena!
Kalikizo ndio kameisha,ambako kwa upande wangu siku 2 za mwanzo niliugua but nilipoenda kule kwa jirani nikakutana na ndugu wengi wa huku na nikaendlea na maisha japo hapanogi km hm,
Ndipo nilipogundua JFni home sweet home karibun tena!
nrifurah kukuwona kure kwengne.nirijickia burudani mpaka kumoyo. Ghafra rimoyo rikataka kukudondokeaga ira nkakumbuku kuwa wewe ni shemeji.. U hari gani Cantalisia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.