Bye bye CHADEMA, nimejivua gamba rasmi

Jamani mimi nimeamua kujivua gamba rasmi na si mwanachama wa Chadema tena hapa Arusha, bado sijaamua niingie chama gani ila nipo nipo kwanza nikiangalia chama muafaka. Magoma nitafute nikukabidhi kadi.

Nawatakia mafanikio mema katika mbio za sihasa.
Pipoz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

Tueleze kunani huko mpaka ukamua kujivua gamba?
 
Jamani mimi naona tusipoteze muda wetu na huyu mvua magamba.ilaelekea dhahiri amesahau chama alichotoka.
 
Jamani mimi nimeamua kujivua gamba rasmi na si mwanachama wa Chadema tena hapa Arusha, bado sijaamua niingie chama gani ila nipo nipo kwanza nikiangalia chama muafaka. Magoma nitafute nikukabidhi kadi.<br />
<br />
Nawatakia mafanikio mema katika mbio za sihasa.<br />
Pipoz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
<br />
<br />
Kumbe upupu's sister mi napita bwana,wa dar mnajifanya wa aRUSHA,NA arUSHA JE WASEMEJE?
 
Jamani mimi nimeamua kujivua gamba rasmi na si mwanachama wa Chadema tena hapa Arusha, bado sijaamua niingie chama gani ila nipo nipo kwanza nikiangalia chama muafaka. Magoma nitafute nikukabidhi kadi.

Nawatakia mafanikio mema katika mbio za sihasa.
Pipoz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Njaa bana! Usicheze na miayo ya njaa
 
Kwanza nakupongeza kwa uamuzi uliouchukua. Sera ya chama che2 kinataka wanachama makini wenye msimamo wa kweli wasiobabaishwa na hao wavua magamba. Kwa vile umejitambua hauna sifa za kuwa mwanachama wa Cdm ndo maana umeamua kujiengua kama ulikuwa umetumwa na hao wavua magamba ili uje ku2vuruga wambie si ha2danganyiki.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom