NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Jamani mimi nimeamua kujivua gamba rasmi na si mwanachama wa Chadema tena hapa Arusha, bado sijaamua niingie chama gani ila nipo nipo kwanza nikiangalia chama muafaka. Magoma nitafute nikukabidhi kadi.
Nawatakia mafanikio mema katika mbio za sihasa.
Pipoz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Nawatakia mafanikio mema katika mbio za sihasa.
Pipoz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaa.