Sonara
JF-Expert Member
- Oct 2, 2008
- 726
- 68
Kama sitokosea ilikuwa ni mwaka juzi, Mzee huyu (yousuf Makamba)akiwa zanzibar katika kampeni na kuimarisha chama akihutubia maelfu ya wananchi alisema haya yafuatayo namnukuu hapa: Kama kuna mtu anataka Biashara zake ziende vizuri basi ajiunge na CCM mwisho wa kumnukuu, ukichukuwa hayo maneno ya aliyekuwa katibu mkuu wa CCM wakati ule na kuangalia hali halisi ya uchumi ilivyokuwa inaendeshwa na matokeo yanayojitokeza hivi sasa utaelewa umekuwa unaongozwa na unaendelea kuongozwa na uongozi wa aina gani, mwisho nitapenda nikukumbusheni ndugu zangu wa Tanzania (This is not one man show)