Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Bweni la wasichana la shule ya
Morogoro secondary linaumgua
moto maeneo ya forest na
chanzo inasemekana ni hitilafu
ya umeme. Fire wamefika na
wanazima na asilimia 80 ya jengo imeungua na hata hivyo
moto bado unawaka pamoja
na fire kujitahidi. Bado
haijajulikana kama wanafunzi
wote wako salama.
source:Radio Imani
Morogoro secondary linaumgua
moto maeneo ya forest na
chanzo inasemekana ni hitilafu
ya umeme. Fire wamefika na
wanazima na asilimia 80 ya jengo imeungua na hata hivyo
moto bado unawaka pamoja
na fire kujitahidi. Bado
haijajulikana kama wanafunzi
wote wako salama.
source:Radio Imani