M mdeka1 New Member Jun 4, 2012 4 2 Jun 27, 2012 #1 Hodi jamani humu ndani! mimi mgeni wenu naomba mnipokee. mnielekeze na kuniongoza mpaka niwe mwenyeji! sawa jamani? :lol: :juggle:
Hodi jamani humu ndani! mimi mgeni wenu naomba mnipokee. mnielekeze na kuniongoza mpaka niwe mwenyeji! sawa jamani? :lol: :juggle:
Tuko JF-Expert Member Jul 29, 2010 11,178 7,319 Jun 27, 2012 #2 Dah... Tangu jana watu wanaingia JF kwa vituko!!!
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,127 16,190 Jun 27, 2012 #3 Naona mtumishi umefikia jukwaa la mapenzi direct, Karibu sana!
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Jan 26, 2012 1,996 615 Jun 27, 2012 #4 Da ulikuwa ukisubiliwa wewe umeshafika sasa mjadala uanze karfibu Comrade
CUTE JF-Expert Member Mar 5, 2012 1,230 591 Jun 27, 2012 #11 Never give up said: Naona mtumishi umefikia jukwaa la mapenzi direct, Karibu sana! Click to expand... jamani jamani khaa!
Never give up said: Naona mtumishi umefikia jukwaa la mapenzi direct, Karibu sana! Click to expand... jamani jamani khaa!
J Jeho JF-Expert Member Jul 2, 2011 5,053 5,503 Jun 27, 2012 #13 Ameeeeen, karibu sana ila una mambo wewe, unakuja kujitambulisha katika jukwaa la malove. WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
Ameeeeen, karibu sana ila una mambo wewe, unakuja kujitambulisha katika jukwaa la malove. WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
I issabela Senior Member Jun 27, 2012 148 17 Jun 27, 2012 #14 awp said: mmmh! kazi ipo Click to expand... kazi gani?
mtotowamjini JF-Expert Member Apr 23, 2012 4,526 1,169 Jun 27, 2012 #15 bwana yesu kwenye mapenzi na mahusiano?
Stroke JF-Expert Member Feb 17, 2012 34,671 40,913 Jun 27, 2012 #16 cacico, madame, karibisheni mgeni...kuna chai na karoti..karibu mkuu
Vituka JF-Expert Member Nov 9, 2011 2,257 1,247 Jun 27, 2012 #17 mdeka1 said: Hodi jamani humu ndani! mimi mgeni wenu naomba mnipokee. mnielekeze na kuniongoza mpaka niwe mwenyeji! sawa jamani? :lol: :juggle: Click to expand... Karibu huku mlango wa nyuma twala tende na halua! Karibu shakhe ila usisahau kuja na msuli wako
mdeka1 said: Hodi jamani humu ndani! mimi mgeni wenu naomba mnipokee. mnielekeze na kuniongoza mpaka niwe mwenyeji! sawa jamani? :lol: :juggle: Click to expand... Karibu huku mlango wa nyuma twala tende na halua! Karibu shakhe ila usisahau kuja na msuli wako