Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 340
Nami ngoja nipitie albamu yangu nitupiemo enzi tunadai uhuru
Acha hasira !
Soma kichwa cha mada.
Halafu hapa sio jukwaa la uchumi.
Mada ni nzuri na inatupa taswira na maana kubwa sana kuhusu maisha in general !
Mungu huwa anatutoa mbali saana!
Picha zinaongea kuliko maneno
View attachment 60740
Barack Obama akiwa na baba yake enzi hizo
View attachment 60741
Barack Obama akiwa kwa nduguze Kogelo Kenya
View attachment 60742
akiwa na bibi yake
View attachment 60743
Hapa sijui alikuwa anaenda mashine kusaga !
View attachment 73493
Kuhitimu chuo kikuu
View attachment 71790
View attachment 73520
Na hapa ndipo Mungu alipomfikisha kwa sasa !
View attachment 67379
na hawa ni kina Mpoki na Joti.
Mr 2.View attachment 71791
na pia tumetoka mbali kama nchi
FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI: JE WATANGANYIKA HAMUITAKI NCHI YENU...? JE MUNAIJUWA SIKU YA UHURU WA NCHI YENU YA TANGANYIKA...?
View attachment 73495
bendera ya Tanganyika
View attachment 73496
Ni kweli watu wametoka mbali.