wakulu, nimeamua rasmi kuwa mmoja wenu, hii yote ni katika jina la uwazi, ukweli, spidi na viwango
msisahau kunikumbusha protokali ikiwa nitaenda ndivyosivyo
Karibu,lakini huyu bwana gani aliyekutuma?
bwana wa mitandao, mijadala, ukunaji kichwa, na uchambuzi
bwana yuleyule aliyewatuma nyinyi kuja humu
is semenya a he/she?
Achana na semenya.anza na wewe mwenyewe kujitambulisha kama ni she au he ili mchumba Xpin na wapwa zake wasihangaike kuuliza.
Achana na semenya.anza na wewe mwenyewe kujitambulisha kama ni she au he ili mchumba Xpin na wapwa zake wasihangaike kuuliza.
is this the right place kwa watu kutafuta wachumba, nilidhani mnasehemu ya mapenzi na ghasia zake zote mahali pengine
ohhh?! nani katamka wachumba hapa? unalianzisha wewe mwenyeweis this the right place kwa watu kutafuta wachumba, nilidhani mnasehemu ya mapenzi na ghasia zake zote mahali pengine
hebu muelezee dia,hajui wote ni kapo humu ndani.occupied woteWe sema kama ni he/she. Nani kakuambia tunatafuta wachumba humu?
ohhh?! nani katamka wachumba hapa? unalianzisha wewe mwenyewe
Ebwanee karibu sana wewe mwombe Invisible akupe mwongozo wa JF yaani sisi hapa ndo nyumbani huko kwingine tukiingia tunaona hakufai hujachelewa JF ndo mtandao bora kuliko yote Tanzania.
hebu muelezee dia,hajui wote ni kapo humu ndani.occupied wote