zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
ndio mambo ya jf ayo..
Zomba na FaizaFoxy ni ndugu wa karibu sana, lakini si mtu mmoja. Na ikiwa mtampa Zomba umaarufu wa FaizaFoxy basi Zomba atakuwa katika furaha kubwa sana.
ndio mambo ya jf ayo..
Kuna watu wajinga kama Mohamed Said, hawajui misingi iliyojengwa hadi Tanzania ikaitwa kisiwa cha amani...wanadhani amani hiyo ilishushwa tu kama manna kutoka mbinguni. Sasa wasubiri kuvuna walichokuwa wakikitafuta...kuna "red line" haikutakiwa kuvukwa! Wafuasi wake vipofu kama zomba, Ritz na wengineo kama kweli maji mmeyavulia nguo, sasa mkae tayari kuyaoga. Nina hakika wako Waislaam wengi tu wanaungana na wazalendo wa kweli wa taifa hili wasiokubaliana na haya matendo yenu ya kihuni kwa kutumia kivuli cha dini...enough is enough!
Historia ni kitu kimoja na uchochezi kwa kutumia historia ni jambo jingine.
Tunamwalika Mohamed Said ili aje atufafanulie yale waliyoongea na profesa kuwa '' Tanzania is another Rwanda in the making'' je ndio wakati wake umefika?
Tunamsihi aje hapa afafanue kuhusu uchochezi wa kidini ambao tulimuuliza hakuweza kujibu. Je, haya ndiyo aliyokuwa anataraji au alimaanisha kitu kingine?
Kwa vyovyote iwavyo Mohamed Said ni kiungo muhimu sana katika vurugu zinazoendelea au zitakazotokea.
Ima ajitokeze kutufahamisha tusipomwelewa au ajifiche.
Kitu cha muhimu ni kuwa tunakumbu kumbu zake na tunazidurusu.
Mohamed Said uko wapi?
By mwakaboko
katika zaidi ya post mbili hapa JF, nilimwambia wewe ni tatizo, akanitusi. Kwa fujo zinazoendelea sasahivi Mohamed Said in my view hatoki salama huyu ni muhimu serikali imfuatilie kujua his ABCs zinazohusiana na fujo hizi, yeye ameshiriki vipi. Hata kama hahusiki serikali ni muhimu ikijiridhisha.
Ni nani anamfadhili Ponda? ajulikane, Je, Mohamed Said ndiye mfadhili? serikali ijiridhishe
MM Brilliant!
Mohamed Said tafadhali sana karibu tujadiliane.
Hapa namnukuu 'Tutafika mahali pa kuita EU na AU watusuluhishe'
Sioni kwanini serikali imkamate Sheikh Ponda. Nasema hivi kwasababu haya tunayo yaona tumeyasema sana hasa katika thread za Mohamed Said. Tumetahadharisha sana kuwa tatizo si jamii, tatizo ni kundi la wasomi wachache wanaowatumia watu wenye ushaiwishi katika jamii zao kueneza chuki.
Sheikh Ponda ni kipaza sauti tu, chuki hizi nadiriki kuzisema wazi kuwa zimejengwa kwa usimamizi wa Mohamed Said.
Namkaribisha Mohamed Said hapa! tuendelee pale tulipoishia na hapa tulipo leo.
Mzee Said, all these upheaval and unrest have significant link with you.
Mohamed you have the onus to come out and tell fellow Tanzanian what's going on!
Kwa kweli ningependa sana kusikia msimamo wa mwanaharakati Mzee Mohammed Said hasa kufuatia haya yanayoendelea leo hii nchini na hasa kitendo cha serikali kumkamata Shehe Ponda Issa Ponda na kundi la vijana wa Kiislamu? Je inamkumbusha ile kamatakamata ya miaka ya sitini ambapo baadhi ya mashehe na wanasiasa wengine walikamatwa na aliyekuwa Shehe Mkuu kurudishwa Zanzibar?
Baadhi yetu tunatarajia kumsoma tena kwa makini akitupatia busara zake katika mlolongo wa matukio haya ambayo yanaonekana kuzidi kutugawa.
analalamika kuwa kila akiandika makala zake JF zinafutwa au zinahamishwa toka kwenye siasa
nimemwambia aanzishe website yake kama wenzie akina ULIMWENGU
Huu ni ukweli, futa futa sasa hivi imetawala hapa JF. Ni hoja zenye muelekeo wa KI-JF, ndio zenye uhakika wa kubaki nyingine na bahati kubaki. Unajua mwezi huu tu wamefungiwa watu wangapi. Andika kuwa Waislam ni wadini hiyo itabaki, lakini ukibadili tu pale penye waislam ukaweka wakristo, thread itakaa dakika mbili tu na kutolewa. Sioni cha ajabu kwa vile hii ndio katiba ya JF.
Mnajua ndugu zangu mnaoandika kama ulivyoandika na wengine wenye mtazamo wako, huwa nawashangaa sana. Tatizo sio Shehe Ponda na vijana hao wakiislam waliokamatwa, tatizo ni waislam kutoridhika na utaratibu uliopo ndani ya nchi yetu katika sekta mbali mbali ikiwa pamoja na elimu, ajira, utawala na kadhalika.
Ndugu zangu wakristo tatizo si Ponda au Sheikh Farid bali ni vijana wote wa kiislam waliochoshwa na utaratibu uliopo. Panueni wigo wa kufikiri, ili tuwe pamoja katika kutatua matatizo haya.
Mimi naona hii 'movie ya Sheikh Ponda' mnaichukulia very serious...
after one week tutakuwa tumeshasahau...
:embarrassed:
Leo hakuna anaezungmzia' movie ya Ulimboka' tena..
ndo Tanzania yetu hiii...
kila wiki ni new movie...
Mimi naona hii 'movie ya Sheikh Ponda' mnaichukulia very serious...
after one week tutakuwa tumeshasahau...
Leo hakuna anaezungmzia' movie ya Ulimboka' tena..
ndo Tanzania yetu hiii...
kila wiki ni new movie...