Enzi zile nilikua nafanya mchezo wa kubahatisha namba, nikikutana na sauti ya kiume napotezea, nikikutana na ya kike nachombeza. Sasa kuna huyo dada anaitwa ***, ana sauti laiiini kwenye simu. Daah! Tukaanza ku"flirt", tukakubaliana kuonana. Unajua nini kilinitokea?
...
Hata wewe au rafiki yako keshapitia huko.
...
Enzi hizo buzz ni bomba bana, mishale ya saa sita nait kali mpaka majogoo watu wanaongea "*****" kwenye vilongalonga vyao, mostly SIEMENS dole gumba, TWANGA pepeta na NOKIA jeneza n.k.!
...
This is chit chat
...
Hata wewe au rafiki yako keshapitia huko.
...
Enzi hizo buzz ni bomba bana, mishale ya saa sita nait kali mpaka majogoo watu wanaongea "*****" kwenye vilongalonga vyao, mostly SIEMENS dole gumba, TWANGA pepeta na NOKIA jeneza n.k.!
...
This is chit chat