Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Mwenyekiti wa taasisi ya mwl. Nyerere akitaka chama cha mapinduzi wakaechini na wafanye tathimini ya mwoenendo wake, kwan amegundua hakina support toka kwa vijana, yeye binafsi anatambua misingi ya sasa ya chama chake ccm imetawaliwa na watu waliojaa ubinafsi na wasioendana na matakwa ya sasa ya wananchi. Awataka watathimin wajirekebishe kwan kizazi cha sasa kinawatupa mkono hivyo kuatarisha future ya ccm kisiasa. KIBAMBA aunga hoja kwa kusema kazi ya chama cha siasa c kukamata dola bt ni kuongoza kwa maendeleo ya taifa. Ccm imepotea, wAjirekebishe!