Sina nia ya kumtetea Butiku lakini nadhani Lunyungu akitupa data litakuwa jambo la busara ili tusidandie train tusiyojuwa inakoenda.
Lakini pia huenda ni kweli kwamba huo mfuko umechoka kifedha sipingi hilo hofu yangu ni kigezo kilichotumika koconclude hilo-kuchezesha bahati nasibu. Fact ni kwamba kuna mfadhili alijitolea vitu vichezeshwe hiyo bahati nasibu ili pesa itakayopatikina itumike kwenye mfuko. Sifahamu kama alifanya hivyo baada ya kuona mfuko umechoka kifedha. Hakuna mfuko unaoweza kukataa fedha,Bill Gates na Foundation yake hawezi kukataa pesa kusukuma mbele shughuli za mfuko.
Lunyungu umesema anaowasema Butiku hawajibu,hv Lunyungu sisiem hii iliyojaa ufisadi uliooza unatarajia watajibu kwa mwanaccm mwenzao ambaye si threat kwa lolote?Sidhani kama wanao huo muda, wako busy na ufisadi, they cant see. Boss wao juzi alisema kelele za wapinzani ni kelele za mlango hazimzuii yy mwenyenyumba kulala-dharau ilioje kwa wapiga kura waliomweka madarakani.
Lakini pia huenda ni kweli kwamba huo mfuko umechoka kifedha sipingi hilo hofu yangu ni kigezo kilichotumika koconclude hilo-kuchezesha bahati nasibu. Fact ni kwamba kuna mfadhili alijitolea vitu vichezeshwe hiyo bahati nasibu ili pesa itakayopatikina itumike kwenye mfuko. Sifahamu kama alifanya hivyo baada ya kuona mfuko umechoka kifedha. Hakuna mfuko unaoweza kukataa fedha,Bill Gates na Foundation yake hawezi kukataa pesa kusukuma mbele shughuli za mfuko.
Lunyungu umesema anaowasema Butiku hawajibu,hv Lunyungu sisiem hii iliyojaa ufisadi uliooza unatarajia watajibu kwa mwanaccm mwenzao ambaye si threat kwa lolote?Sidhani kama wanao huo muda, wako busy na ufisadi, they cant see. Boss wao juzi alisema kelele za wapinzani ni kelele za mlango hazimzuii yy mwenyenyumba kulala-dharau ilioje kwa wapiga kura waliomweka madarakani.