Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Busu hili busu gani,
Busu la kurumagia,
Uzuri wake ni nini,
Kavukavu kubusia?
Tonge kulishikilia
Mchuzi ninyimwani
Nabaki kutamania
Kama samaki pichani?
Unaponipa chakula
Nipe na mchuzi pia
Na njaa mwisho ntalala,
Na tonge naachilia!
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
Busu la kurumagia,
Uzuri wake ni nini,
Kavukavu kubusia?
Tonge kulishikilia
Mchuzi ninyimwani
Nabaki kutamania
Kama samaki pichani?
Unaponipa chakula
Nipe na mchuzi pia
Na njaa mwisho ntalala,
Na tonge naachilia!
Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)