Duuu...Mkuu we ni wa wapi hujui hata kujielezea yaani hapo ndio umemalizaaaa...kwa akili yako, Unasafari ndefu Jipange!! Kwa kifupi hujaeleweka na hamna Mtu wa kupoteza pesa yake kwa kitu kisichokuwa kwny line\kisichokuwa na faida. Jipange kama kweli unania ya kusaidiwa na uwe na maelezo ya kutosha, Jifunze kufikiri nakupata ushauri kwanza kabla ya kuweka chochote humu Jf. Ni hayo tu, Fanyia kazi, Ushauri wa bureeee...huo.wana JF
nina business proposal nahitaji capital render na business consern haihitaji capital kubwa sana return baada ya miezi 8 na riba ya asilimia 5
Duuu...Mkuu we ni wa wapi hujui hata kujielezea yaani hapo ndio umemalizaaaa...kwa akili yako, Unasafari ndefu Jipange!! Kwa kifupi hujaeleweka na hamna Mtu wa kupoteza pesa yake kwa kitu kisichokuwa kwny line\kisichokuwa na faida. Jipange kama kweli unania ya kusaidiwa na uwe na maelezo ya kutosha, Jifunze kufikiri nakupata ushauri kwanza kabla ya kuweka chochote humu Jf. Ni hayo tu, Fanyia kazi, Ushauri wa bureeee...huo.
mkuu si utani bali kupost plan widely in social is like buyying online while your nat sur of purchase your good
Mkuu hapa unamaanisha nini? kiingilishi kinanipiga chenga lakini hapa chini naona lugha uliyoitumia ina utata kidogo.........itakuwaje kwenye hiyo proposal yako?