Business or Politics: Another dimension in Tanzanian Politics

Honey K

JF-Expert Member
Sep 14, 2008
629
72
Moral reasoning lies at the heart of the debate on separating business and politics. It emphasizes the need to do the right thing by the right means inoder to achieve a specific end..
 
Nape, kwanza hongera kwa kuchaguliwa NEC, CC na Katibu Mwenezi. Tangu umechaguliwa, sijabahatika kukuona humu, hivyo nimefarijika sana kukuona tena, ila pia utanisamehe, isije kuwa ni mimi tuu ndio sijabahatika, ula upo na ulikuwepo.

Pamoja na kuanzisha hii thread ya uchaguzi, kati ya biashara na siasa, kwa maoni yangu binafsi, haina mashiko kwa CCM as long CCM tayari imeishahodhiwa na wenye nazo. Siasa za CCM ya sasa ni pesa kama huna, huna chako.

Ila hoja hii, inaweza kuwa na mashiko kama ni kweli CCM iko serious na mageuzi yake ya kujivua gamba, ili ibaki CCM safi ya watu waadilifu na kuwaruhusu wenye nazo, wakajiendeshee zao maisha yao mbali na CCM ile ya Nyerere.

Kwa vile wewe ni member humu, nakusihi sana jitahidi ujitokeze hivi japo mara moja moja ili angalau ukitetee chama chako kwenye hoja za msingi, badala ya kukaa mbali na kuacha uwongo ukirudiwa rudiwa mpaka mwisho wake unaonekana ndio ukweli.

Karibu tena.

Pasco.
 
Nape, kwanza hongera kwa kuchaguliwa NEC, CC na Katibu Mwenezi. Tangu umechaguliwa, sijabahatika kukuona humu, hivyo nimefarijika sana kukuona tena, ila pia utanisamehe, isije kuwa ni mimi tuu ndio sijabahatika, ula upo na ulikuwepo.

Pamoja na kuanzisha hii thread ya uchaguzi, kati ya biashara na siasa, kwa maoni yangu binafsi, haina mashiko kwa CCM as long CCM tayari imeishahodhiwa na wenye nazo. Siasa za CCM ya sasa ni pesa kama huna, huna chako.

Ila hoja hii, inaweza kuwa na mashiko kama ni kweli CCM iko serious na mageuzi yake ya kujivua gamba, ili ibaki CCM safi ya watu waadilifu na kuwaruhusu wenye nazo, wakajiendeshee zao maisha yao mbali na CCM ile ya Nyerere.

Kwa vile wewe ni member humu, nakusihi sana jitahidi ujitokeze hivi japo mara moja moja ili angalau ukitetee chama chako kwenye hoja za msingi, badala ya kukaa mbali na kuacha uwongo ukirudiwa rudiwa mpaka mwisho wake unaonekana ndio ukweli.

Karibu tena.

Pasco.


Ajitokeze mara ngapi? Mbona anajitokeza karibu kila siku kwa majina tofauti
 
Ameandika sentesi moja haina kichwa wala miguu...haya ni mambo ya facebook. Yeye aje na hoja itajadiliwa mkuu. Angalia ulivyoaandika wewe hapo juu umeweza hata kuweka nia kwa kwachangiaji labda kwa kuwa wewe ni good debater. Huwezi andika kitu kisicho na nyama utegemee watu wachangie. Nape should show maturity
 
Nape, kwanza hongera kwa kuchaguliwa NEC, CC na Katibu Mwenezi. Tangu umechaguliwa, sijabahatika kukuona humu, hivyo nimefarijika sana kukuona tena, ila pia utanisamehe, isije kuwa ni mimi tuu ndio sijabahatika, ula upo na ulikuwepo.

Pamoja na kuanzisha hii thread ya uchaguzi, kati ya biashara na siasa, kwa maoni yangu binafsi, haina mashiko kwa CCM as long CCM tayari imeishahodhiwa na wenye nazo. Siasa za CCM ya sasa ni pesa kama huna, huna chako.

Ila hoja hii, inaweza kuwa na mashiko kama ni kweli CCM iko serious na mageuzi yake ya kujivua gamba, ili ibaki CCM safi ya watu waadilifu na kuwaruhusu wenye nazo, wakajiendeshee zao maisha yao mbali na CCM ile ya Nyerere.

Kwa vile wewe ni member humu, nakusihi sana jitahidi ujitokeze hivi japo mara moja moja ili angalau ukitetee chama chako kwenye hoja za msingi, badala ya kukaa mbali na kuacha uwongo ukirudiwa rudiwa mpaka mwisho wake unaonekana ndio ukweli.

Karibu tena.

Pasco.

Pasco unasumbuka kumshauri bwana huyu kuwa awe anakuja hapa JF mara kwa mara.

Nape tangu amejiunga hapa JF 2008 ni vigumu sana kumkuta. Mara alipochaguliwa kuwa vuvuzela wa CCM haraka haraka ameanza kuja tena JF lakini huwezi kuona anatulia hapa kujibu hoja. Nina mashaka hata kama atatoa thanks kwa ushauri wako mzuri kwake. Ni hivyo hivyo hata kule facebook hana mchango wowote.

Nimesoma humu thread moja kuwa alisema kwenye mahojiano katika tv ya mlimani katuma vijana wake hapa jf na fb kupambana. Sasa kama yeye ni mwoga wa kutetea hoja hao aliowatuma wataweza wapi?

Angalia mwenyewe, hoja ambazo anatakiwa akawaambie kwenye chama chake kilichojivika magamba kwanza, yeye anajaribu kuileta hapa.
Hivi anadhani hilo ndilo tatizo la ufisadi? Hajui hata wangewapa maskini uongozi ufisadi unaweza kuwapo tu?

Tunahitaji viongozi safi wa moyo. Tunahitaji sheria kali za kuwawajibisha viongozi wakiukao maadili. Utajiri wao kabla ya kuwa viongozi hauna mantiki yoyote.
 
Moral reasoning lies at the heart of the debate on separating business and politics. It emphasizes the need to do the right thing by the right means inoder to achieve a specific end..

Nape, this statement expresses your sheer frustrations at failing to 'axe' down the Triangle Tripplets' (na ubavu na nguvu hizo huna).
You're alone in CCM if you don't have a 'company'.
In Chadema we have this well defined; once in active politics we take sabatical leave from our b'ness.
 
Wafanya biashara lazima wafanye siasa .... huwezi kuwanyima haki yao ya kikatiba ..... Tanzania hatujitambui kwa sasa lakini Tnzania is now a full capitalist country ... there is a big gap between those who have and those who dont have

kinachotakiwa kutenganishwa hapa ni wafanyabiashara na uongozi wa umma tena katika level ya juu ya mhimili wa executive

nape jitahidi sana kufikiri kwa kina na kutafakari kabla hujaleta hoja humu jamvini
 
Nadhani clue ya anachosema Nape ipo kwenye title ya hii thread ambayo ni "BUSINESS or POLITITCS; another dimension in Tanzanian Politics".

Kwa kutumia maneno 'another dimensio' nadhani Nape anatutangazia waziwazi kuwa ccm wamekwama kutimiza ahadi zao nyingi za kasafisha siasa na hata yale majigambo ya kutenganisha biashara na siasa yamekwama. Kwangu mimi ndio tafsiri napata.

Labda nimtoe wasiwasi Nape kuwa hakuna mtu aliyetegemea ccm kutenganisha biashara na siasa! hakuna! Kitu watu wanataka sasa hivi ni kutenganisha ccm na madaraka maana mnatupeleka jehanam mchana kweupe!
 
Moral reasoning lies at the heart of the debate on separating business and politics. It emphasizes the need to do the right thing by the right means inoder to achieve a specific end..
A lot of us are politically blind and usually end up joining the band wagon and reducing our political relevance.I guess you do not understand the political economy. Business and politics are intertwined. However, more money equals more power. This is common throughout the world.Let us put mechanism in place to ensure the interest of the mass prevails
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Moral reasoning lies at the heart of the debate on separating business and politics. It emphasizes the need to do the right thing by the right means inoder to achieve a specific end..

What is wrong about doing business n being in politics?

Incase bakresa akiamua kugombe nafasi CCM kosa lake litakuwa nn?

Tumeine neno greed vs politiki???

Waroho na wenye tamaa ya utajiri usiwaite wafanya biashara!!!
 
Moral reasoning lies at the heart of the debate on separating business and politics. It emphasizes the need to do the right thing by the right means inoder to achieve a specific end..
Haaa! You are a Politician mkuu wangu ndio maana umepewa wadhifa huo. Business huiwezi unless business yenyewe ihusiane na Politics. Moja ya malengo ya chama CCM (a specific end) is to win elections by any means necessary!..That is your business!
 
Wafanya biashara lazima wafanye siasa .... huwezi kuwanyima haki yao ya kikatiba ..... Tanzania hatujitambui kwa sasa lakini Tnzania is now a full capitalist country ... there is a big gap between those who have and those who dont have

kinachotakiwa kutenganishwa hapa ni wafanyabiashara na uongozi wa umma tena katika level ya juu ya mhimili wa executive

nape jitahidi sana kufikiri kwa kina na kutafakari kabla hujaleta hoja humu jamvini

Mkuu kama bado CCM inatekeleza Azimio la Arusha, nijuavyo mimi kiongozi wa siasa hawezikuwa mfanyabiashara. Au wamebadilisha katiba ya chama?
 
Halafu Nape unauchochea mwenyewe moto unaokuunguza, huna pa kukimbilia: JK mtu wa fitina hadi mwanae karithi (Riz1 hakuzaliwa na Salma), Kimbao deki juu imenasa na hao wemngine hawakupendi jinsi unavyo rap. Utaweza kwenda kwa JM?
 
Itakuwa dhambi kunbagua mtu au watu kutofanya biashara kwakuwa wameamua kuwa wafanyabiashara!

Biashara kama biashara si dhambi, na kuwa mfanya biashara ni kuwa kiongozi..pengine makini kupita wanasiasa wengi akiwemo Nyerere ambaye alikuwa hajui biashara na alipenda umaskini (akifikiri umaskini pekee utampeleka peponi) wrong!

Kuna wafanya biashara wazuri hivyo kwakuwa wameendesha biashara kwa umakini, biashara halali wanastahili uongozi wa kisiasa hata urais bila pingamizi..

Si kila mfanya biashara ni mbaya na wala si mwanasiasa asiye na biashara ni mzuri sana wrong!

Mwanasiasa anaweza asiwe na biashara akawa mbaya, anaweza akawa na biashara akawa kiongozi mzuri

Issue: ni transparency kwa kila anayetaka kufanya kazi za umma period irrespective ni mfanya biashara, mfanyakazi, mtumishi, mkulima etc...
 
Nape ur a square peg in a round hole! Toka CCM!

Atoke CCM aende wapi? Akihamia chama kingine nini kitabadilika? He will still be Nape with same morals and ethics. Labda aachane kabisa na siasa may be sio area yake hiyo.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Atoke CCM aende wapi? Akihamia chama kingine nini kitabadilika? He will still be Nape with same morals and ethics. Labda aachane kabisa na siasa may be sio area yake hiyo.

...yaah incase akiamua kuwa stiff naked fool, lkn kwa usomi wake naami akieleweshwa madhara ya kuwa huko aliko ataelewa tu.
 
Wafanya biashara lazima wafanye siasa .... huwezi kuwanyima haki yao ya kikatiba ..... Tanzania hatujitambui kwa sasa lakini Tnzania is now a full capitalist country ... there is a big gap between those who have and those who dont have

kinachotakiwa kutenganishwa hapa ni wafanyabiashara na uongozi wa umma tena katika level ya juu ya mhimili wa executive

nape jitahidi sana kufikiri kwa kina na kutafakari kabla hujaleta hoja humu jamvini
Nape anakuja na hoja za kuangalizia. Hana fikra pevu zitokazo kichwani mwake ndio sababu anaropoka ropoka kama babu yake Makamba.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom