Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

UPDATE: INFORMATION NO. 2

- Kwa wale wanaofuatilia, habari ni kuwa SEACOM SUBMARINE OPTIC FIBER iko LIVE toka Thursday 23rd July 2009.

- Dodoma imeunganishwa tayari kupitia Fiber ya TANESCO (Hakuna confirmation kama wako LIVE)

- Chuo Kikuu cha DSM tayari nao wameunganishwa (Hakuna confirmation kama wako LIVE)

- Kampuni hii ambayo ina-Offer Business Opportunity imekuwa ISP ya kwanza kujiunga katika mtandao wa SEACOM kutoka katika Distribution Hub pale TTCL Kijitonyama.

- Kama kila kitu kikienda sawa Technical, wateja wa DSM watakuwa LIVE on SEACOM from next week or first week of August.

- Kwa wenye mahitaji ya kuanzia 256 Kbps unaweza kuni-PM kama uko DSM nitakupatia utaratibu wa kuunganishwa
 
Oh that sounds soo sooo cool i was waitin for it for lond tyme
gime da details on sabo01deny2002(at)yahoo(dot)com
Bless yoo!!
 
Back
Top Bottom