Kwani bushoke pekee.Mbunge wenu vp?
Wangapi tunawajua wako kimya huwataji au huyu ndie anayekupa raha...!!? Achen hizo bana...!!! Bushoke yupo tena yuko fresh na ishu zake nyingine...!!!muktadha hapo ni kwambana muda mrefu hajasikika, kwa hiyo kama ameishiw a tungo tumsaidie kimaombezi, silengi wimbo wowote naongea wholisticaly
Nadhani topic ni je Bushoke ameishiwa mistari?....haya mambo ya ishu zake nyingine hakuna aliyeuliza jibu ni kwamba ameishiwa au hajaishiwa na kama hajaishiwa ana nyimbo iko kwenye chati au anategemea lini kutoa Album mpya au single?Wangapi tunawajua wako kimya huwataji au huyu ndie anayekupa raha...!!? Achen hizo bana...!!! Bushoke yupo tena yuko fresh na ishu zake nyingine...!!!
anawatafuta Ntamba Murugamba !Amavubi mambo gani hayo?
muktadha hapo ni kwambana muda mrefu hajasikika, kwa hiyo kama ameishiw a tungo tumsaidie kimaombezi, silengi wimbo wowote naongea wholisticaly
kama umesoma vizuri mada ninayoleta ni kwa sababu nilikua nazikubali sana tungo zake ndio maana nimechokoza hapa si kwa NIA MBAYA wadau..Wangapi tunawajua wako kimya huwataji au huyu ndie anayekupa raha...!!? Achen hizo bana...!!! Bushoke yupo tena yuko fresh na ishu zake nyingine...!!!