minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
tunaambiwa mzee wa kukwepa kiatu kwa sasa mambo yake swaaaaafi; kifriji kinachomoza utadhani mtemi fulani wa kiafrika au mbunge wa bongo; huku akitumia muda mwingi kupiga soga na mkewe Laura!!!
Osama naye tunaambiwa tangu afurumushwe tura bora, mambo yake poa kabisa kwani anaishi uswazini kweupeeee; amepangisha nyumba nzima huko pakistani na nasikia ni mzee wa chuma!!!
http://www.freakingnews.com/Fat-Belly-Pictures-6603.asp
http://www.freakingnews.com/Fat-Belly-Pictures-6603.asphttp://www.freakingnews.com/Fat-Belly-Pictures-6603.asp
Osama naye tunaambiwa tangu afurumushwe tura bora, mambo yake poa kabisa kwani anaishi uswazini kweupeeee; amepangisha nyumba nzima huko pakistani na nasikia ni mzee wa chuma!!!
http://www.freakingnews.com/Fat-Belly-Pictures-6603.asp
http://www.freakingnews.com/Fat-Belly-Pictures-6603.asphttp://www.freakingnews.com/Fat-Belly-Pictures-6603.asp