Bush na Kikwete; Hizi ndio sababu za kupayuka kwetu?

Sio lazima abishane nao kwa lugha ya kiingereza. Kwanza sio hao wakubwa wote wanazungumza Kiingereza. Chirac kiingereza chake kilikuwa cha kishikaji tu....sijui Sarkozy....lakini hao wengine sijawahi hata kuwasikia wakiongea kiingereza. Hivi huyo Mjapenga anajua kiingereza kweli? na je hoja zake huwa hazisikilizwi? Come on man, why is knowing English such a big deal to you?

Swala hapa sio kiingereza tu, japokuwa ni muhimu, ni issue nzima ya communication skills-verbal and non verbal. In other words, we are talking of a minimum level of cognitive competence essential in any leader at any level, and particularly in a president. Kwa hiyo mzee, don't belittle the bigger issue hapa kwa kuificha ndani ua kiingereza. Tulipomshambulia Mwakyembe juzi, sio kwa sababu aliongea kiingereza kibovu, bali kwa kuchagua maneno vibaya ambayo clearly yalikuwa politically suicidal! Sasa hebu chambua kidogo content ya maelezo ya mheshimiwa hapo, utaibuka na vitu kibao ambavyo ni problematic insofar as communication is concerned.
 
Sio lazima abishane nao kwa lugha ya kiingereza. Kwanza sio hao wakubwa wote wanazungumza Kiingereza. Chirac kiingereza chake kilikuwa cha kishikaji tu....sijui Sarkozy....lakini hao wengine sijawahi hata kuwasikia wakiongea kiingereza. Hivi huyo Mjapenga anajua kiingereza kweli? na je hoja zake huwa hazisikilizwi? Come on man, why is knowing English such a big deal to you?

Kwa sababu Kikwete akienda nje anaongea Kiingereza, si Kiswahili.

Angeongea Kiswahili wala nisingemshikia bango. kwa yeye kuongea kiingereza, na kuishia kutoa passive almost monosyllabic grunts on the mental level sehemu anapotakiwa kujieleza vizuri anaweza kukubali kuiuza nchi yetu bila kuelewa anakubali nini.
 
Kama sikosei Kikwete sio rais wa kwanza wa kiafrika kuhudhiria mikutano kama hiyu ya G8. Nakumbuka Mkapa aliwahi kwenda na akasema sana kwa lugha nzito ya kimasikini (kumbe mwenyewe fisadi) hawakumsikia kitu zaidi ya makofi mengi...
Mimi nadhani sio swala la lugha bali yale unayoyasema... wakati mwingi sisi waafrika huomba vitu ambavyo haviwezekani..Western world hata siku moja hawawezi kula nasi sahani moja, ni ustraabu wa binadamu karne hii ya ukoloni mamboleo.
Tunachofanya waafrika ni sawa na mfanyakazi ndani ya nyumba yako (housekeeper) anayedai haki sawa na mwenye nyumba...
Mtumwa siku zote ni mtumwa tu! haiwezekani kula meza moja acha mbali kuvuta tonge toka sinia moja..
 
Mimi nadhani sio swala la lugha bali yale unayoyasema...

Mkandara, unakosea unaposemahivyo kwa sababu unayoyasema na unavyoyasema vinaacha kuwa vitu viwili na vinakuwa kitu kimoja.

Unaweza kudharauliwa unachosema hata kabla mtu hajakuelewa kwa sababu umetumia lugha mbovu. Unaweza usieleweke kabisa ulitaka kusema nini.Ukisoma hapo juu utaona kuwa Kikwete anahitaji kuandaliwa hotuba na hawezi kutoa impromptu remarks.Kwa rais this is dangerous.
 
I will look for some,

Kabbah alikuwa nahojiwa siku moja na BBC, alikuwa rais wa mpito wa Sierra Leone, jamaa alivyojibu maswali nikaona kuwa kumbe haya mambo ya kuhalalisha poor language / communication skills "eti kwa sababu sisi ni waafrika" hayana msingi, jamaa alitoa majibu yana data, yamepangiliwa halafu yana ile political hope mongering ambayo ilihitajika sana wakati ule wa vita Sierra Leone.Jamaa anaongea na presidential grace na gravita. Kikwete anaongea vibaya kuliko mtoto wa high school anayejua kuongea.

Simaanishi kwamba jamaa ni some african Noam Chomsky, ila alinifurahisha sana kutupa challenge kuwa siyo lazima rais wa Afrika kutojua kujieleza vizuri.

Kikwete ni mtu wa commonwealth kwa hiyo nategemea ajue kiingereza, akienda kwa Sarkozy na kujaribu kifaransa i will cut him some slack.

Pundit, sio kwamba watu tunahalalisha utumiaji wa lugha mbovu kwa vile eti sisi ni Waafrika. Sio hivyo hata kidogo. Ninachogomba mimi ni kwamba, mtu kama unatumia lugha ambayo siyo ya asili, basi isiwe nongwa sana pale utakapochapia. Hii haina maana kwenye lugha yako ya asili usiwe na uwezo wa kujieleza na kuelezea mawazo na hoja zako vizuri. Kama Kikwete akiwa kama raisi Bush na kuanza kuongea Kiswahili kibovu hapo nitakuwa na ishu naye. Hata kwa Kiswahili unaweza ukatoa majibu yenye akili na yenye "dataz" au hata kwa lugha yoyote ile.

Hivi kwa nini sisi hatuthamini vya kwetu jamani ikiwemo lugha? Nimeishi na Waingereza na hata siku moja hawakuwahi kunicheka au kunihoji kwa nini nachapia lugha yao ingawa natokea commonwealth. Nahisi wanatambua kuwa kiingereza ni lugha yangu ya pili au hata ya tatu au ya nne....Na hata nilipochapia, bado ujumbe ulifika kwa vile walinielewa nilikuwa namaanisha nini. Kwa ujumla nakubaliana nawe katika mambo mengi lakini hili ni moja ya machache ambayo napingana na wewe kwa asilimia mia. Sijui ni lini tu utaondokana na hii dhana ya kuongea kiingereza fasaha kuwa ndio alfa na omega....
 
Pundit, sio kwamba watu tunahalalisha utumiaji wa lugha mbovu kwa vile eti sisi ni Waafrika. Sio hivyo hata kidogo. Ninachogomba mimi ni kwamba, mtu kama unatumia lugha ambayo siyo ya asili, basi isiwe nongwa sana pale utakapochapia. Hii haina maana kwenye lugha yako ya asili usiwe na uwezo wa kujieleza na kuelezea mawazo na hoja zako vizuri. Kama Kikwete akiwa kama raisi Bush na kuanza kuongea Kiswahili kibovu hapo nitakuwa na ishu naye. Hata kwa Kiswahili unaweza ukatoa majibu yenye akili na yenye "dataz" au hata kwa lugha yoyote ile.

Hivi kwa nini sisi hatuthamini vya kwetu jamani ikiwemo lugha? Nimeishi na Waingereza na hata siku moja hawakuwahi kunicheka au kunihoji kwa nini nachapia lugha yao ingawa natokea commonwealth. Nahisi wanatambua kuwa kiingereza ni lugha yangu ya pili au hata ya tatu au ya nne....Na hata nilipochapia, bado ujumbe ulifika kwa vile walinielewa nilikuwa namaanisha nini. Kwa ujumla nakubaliana nawe katika mambo mengi lakini hili ni moja ya machache ambayo napingana na wewe kwa asilimia mia. Sijui ni lini tu utaondokana na hii dhana ya kuongea kiingereza fasaha kuwa ndio alfa na omega....

Nyani,

My philosophy is, any job worth doing, let alone the presidency, is worth doing well.The best way if possible.

Umeongea kuhusu kuthamini vya kwetu, kama kuna mtu asiyethamini cha kwao ni Kikwete, si mimi.Kikwete hathamini Kiswahili kiasi kwamba ana risk kufoul up mambo ya international relations kwa English yake mbovu ili mradi asionekane hawezi kuongea kiingereza, ni kama vile anaona aibu kuongea Kiswahili.

Sasa kama Kikwete anajua English Maimuna, na anajua kukazania kuongea English kunaweza ku undermine his communication, kwa nini asitumie Kiswahili na kupewa wakalimani? Mbona kina Ahmadinajad na Putin kila siku wanaongea Farsi na Russian?

Mimi na wewe wabeba mabox tusipojua Kiingereza haiwezi kumshangaza sana Muingereza, hata Kikwete asipojua Kiingereza haiwezi kumshangaza sana mtu yeyote wa nje kwa sababu inawezekana rais akatoka kwenye ma local trade unions huko, akawa very effective lakini hajui Kiingereza, najua hilo linaweza kuwa incovenience kwenye international stage lakini fine, kama hiyo trade off inakubalika poa.Lakini kutokujua Kiingereza na kukazania kuongea Kiingereza ndiyo ujinga nisioukubali.


Haya mambo ya kung'ang'ania tusiyoyaweza ya nini?
 
Swala hapa sio kiingereza tu, japokuwa ni muhimu, ni issue nzima ya communication skills-verbal and non verbal. In other words, we are talking of a minimum level of cognitive competence essential in any leader at any level, and particularly in a president. Kwa hiyo mzee, don't belittle the bigger issue hapa kwa kuificha ndani ua kiingereza. Tulipomshambulia Mwakyembe juzi, sio kwa sababu aliongea kiingereza kibovu, bali kwa kuchagua maneno vibaya ambayo clearly yalikuwa politically suicidal! Sasa hebu chambua kidogo content ya maelezo ya mheshimiwa hapo, utaibuka na vitu kibao ambavyo ni problematic insofar as communication is concerned.

Kwa hiyo tatizo sio lugha ipi itumikayo bali ufundi wa kutumia lugha (yoyote ile) kuwasiliana? Kwa hiyo angeenda pale na kuongea kiswahili na kuongea aliyoongea bado mngemshikia bango?
 
Nyani,

My philosophy is, any job worth doing, let alone the presidency, is worth doing well.The best way if possible.

Sasa kama Kikwete anajua English Maimuna, na anajua kukazania kuongea English kunaweza ku undermine his communication, kwa nini asitumie Kiswahili na kupewa wakalimani? Mbona kina Ahmadinajad na Putin kila siku wanaongea Farsi na Russian?

Haya mambo ya kung'ang'ania tusiyoyaweza ya nini?

Kuhusu yeye kuongea kiswahili sina tatizo na hilo. Kwa litanifanya nijisikie "proud" kwamba raisi wetu anashuka "dataz" kwa kutumia lugha yetu. Tatizo letu sisi Watanzania tunadhani kwamba ukiongea kiingereza basi una akili na watu wakianza kukupa misifa eti yai linapanda na bichwa na lenyewe linazidi kuongezeka ukubwa. Kuongea kiingereza ni ka ujiko fulani.....haya aseme mwingine maana nikisema mimi mtaniambia nina inferiority complex.....

Mambo kama haya yananikumbusha kitabu cha The Beautyful Ones Are Not Yet Born.......
 
Hizi mentality za lugha ni ukoloni mambo leo na umasikini wa fikra kwa sababu success na maendeleo yetu tunayapima kwa kutumia kigezo cha wazungu. Ndo maana leo sishangai ukiomba kazi Dar wanakwambia you should be fluent in English and French is an asset! Honestly, I care less kiingereza cha Kikwete au Ban Ki-Moon (ambaye kweli is doing very badly)..as long as wanajua wanachokifanya. Tatizo la JK might be more than that..ila siwezi kumcrucify kiongozi wetu, kisa lugha ya mkoloni! Unajua tatizo la umasikini wetu umetusababisha tuwaone wazungu kama SI Unit ya success au failure zetu. Ila sishangai maana mpaka leo kipimo cha muafrika kwamba amesoma sana, ni "kujua na kuongea kiingereza kizuri"

Umaskini ni kitu kibaya sana. Hivi leo mataifa tajiri kama Germany, Italy au Japan...wanaheshimu sana lugha zao na wewe unayekwenda kubeba box huko ndo inabidi ujifunze...Mjerumani au mjapani might be less inclined to study english kwa sababu....hatakwenda US kutafuta ajira..au kuomba hizo "international" jobs wakina kalumanzira wanazozitafuta usiku kucha...akifanya ni kwa sababu anapenda..Just for the sake...

Unajua hizo lugha zote ni matokeo ya dunia ilivyokuwa shaped baada ya WWII. kama Germany angeshinda na Japani..leo tungeambiwa international language ni kijerumani na kijapani..Now China is coming up..usishangae tukaambiwa sasa inabidi tujue kichina! kwa sababu ndo incoming superpower..(ohh nearly forgot: Lowassa said it!) Africans we should concentrate to adress mambo ya muhimu tunayoyaweza..ila kuanza kumpima kiongozi wetu kwamba hajui kiingereza kizuri...its nonsense kabisa..

Hapa sana sana tungechambua kama kweli assertion za Bush zina ukweli kwamba pesa anayotupa imetusaidia. Is JK being honest au anadanganya na anamdanganya Bush kwamba American generosity is working? While people are dying and ministers siphoning the $$ in foreign accounts.
 
Hizi mentality za lugha ni ukoloni mambo leo na umasikini wa fikra kwa sababu success na maendeleo yetu tunayapima kwa kutumia kigezo cha wazungu. Ndo maana leo sishangai ukiomba kazi Dar wanakwambia you should be fluent in English and French is an asset! Honestly, I care less kiingereza cha Kikwete au Ban Ki-Moon (ambaye kweli is doing very badly)..as long as wanajua wanachokifanya. Tatizo la JK might be more than that..ila siwezi kumcrucify kiongozi wetu, kisa lugha ya mkoloni! Unajua tatizo la umasikini wetu umetusababisha tuwaone wazungu kama SI Unit ya success au failure zetu. Ila sishangai maana mpaka leo kipimo cha muafrika kwamba amesoma sana, ni "kujua na kuongea kiingereza kizuri"

Umaskini ni kitu kibaya sana. Hivi leo mataifa tajiri kama Germany, Italy au Japan...wanaheshimu sana lugha zao na wewe unayekwenda kubeba box huko ndo inabidi ujifunze...Mjerumani au mjapani might be less inclined to study english kwa sababu....hatakwenda US kutafuta ajira..au kuomba hizo "international" jobs wakina kalumanzira wanazozitafuta usiku kucha...akifanya ni kwa sababu anapenda..Just for the sake...

Unajua hizo lugha zote ni matokeo ya dunia ilivyokuwa shaped baada ya WWII. kama Germany angeshinda na Japani..leo tungeambiwa international language ni kijerumani na kijapani..Now China is coming up..usishangae tukaambiwa sasa inabidi tujue kichina! kwa sababu ndo incoming superpower..(ohh nearly forgot: Lowassa said it!) Africans we should concentrate to adress mambo ya muhimu tunayoyaweza..ila kuanza kumpima kiongozi wetu kwamba hajui kiingereza kizuri...its nonsense kabisa..

Hapa sana sana tungechambua kama kweli assertion za Bush zina ukweli kwamba pesa anayotupa imetusaidia. Is JK being honest au anadanganya na anamdanganya Bush kwamba American generosity is working? While people are dying and ministers siphoning the $$ in foreign accounts.

Aaaah sema wewe bana maana wengine tukisema ukweli tunaambiwa tuna kompleksi....
 
Hizi mentality za lugha ni ukoloni mambo leo na umasikini wa fikra kwa sababu success na maendeleo yetu tunayapima kwa kutumia kigezo cha wazungu. Ndo maana leo sishangai ukiomba kazi Dar wanakwambia you should be fluent in English and French is an asset! Honestly, I care less kiingereza cha Kikwete au Ban Ki-Moon (ambaye kweli is doing very badly)..as long as wanajua wanachokifanya. Tatizo la JK might be more than that..ila siwezi kumcrucify kiongozi wetu, kisa lugha ya mkoloni! Unajua tatizo la umasikini wetu umetusababisha tuwaone wazungu kama SI Unit ya success au failure zetu. Ila sishangai maana mpaka leo kipimo cha muafrika kwamba amesoma sana, ni "kujua na kuongea kiingereza kizuri"

Umaskini ni kitu kibaya sana. Hivi leo mataifa tajiri kama Germany, Italy au Japan...wanaheshimu sana lugha zao na wewe unayekwenda kubeba box huko ndo inabidi ujifunze...Mjerumani au mjapani might be less inclined to study english kwa sababu....hatakwenda US kutafuta ajira..au kuomba hizo "international" jobs wakina kalumanzira wanazozitafuta usiku kucha...akifanya ni kwa sababu anapenda..Just for the sake...

Unajua hizo lugha zote ni matokeo ya dunia ilivyokuwa shaped baada ya WWII. kama Germany angeshinda na Japani..leo tungeambiwa international language ni kijerumani na kijapani..Now China is coming up..usishangae tukaambiwa sasa inabidi tujue kichina! kwa sababu ndo incoming superpower..(ohh nearly forgot: Lowassa said it!) Africans we should concentrate to adress mambo ya muhimu tunayoyaweza..ila kuanza kumpima kiongozi wetu kwamba hajui kiingereza kizuri...its nonsense kabisa..

Hapa sana sana tungechambua kama kweli assertion za Bush zina ukweli kwamba pesa anayotupa imetusaidia. Is JK being honest au anadanganya na anamdanganya Bush kwamba American generosity is working? While people are dying and ministers siphing the $$ in foreign accounts.

You totally missed the boat, and the rescue chopper found you unattentive.

Tumeongea kuwa lugha ni tip of the iceberg tu hapa, pamoja na kwamba lugha ina tabia ya ku reveal vitu vikubwa vinavyokuwa ndani ya kichwa, tunamuachia Kikwete kuhusu lugha kama mtu wa nchi ambayo watu wake wengi hawajui Kiingereza.

Hata ukienda kwenye decision making process yake kuhusu atumie lugha gani unaona ana a poor decision making process.

Anajua Kiswahili na Kiingereza, Kiswahili anakijua vizuri zaidi ya Kiingereza na anaweza kutafsiriwa.Lakini bado akaamua kuongea Kiingereza asichokijua vizuri.

Unaona hapa kuna poor language skills, poor communication skills and poor decision making.

Utawezaje kumchambua mtu ambaye hata haeleweki anasemaje? Anakwambia "We view differently and you view differently" Yaani simplistic and grammatically ugly like that?

Yaani hapo unaona kabisa Kikwete kuna concepts anashindwa ku communicate katika Kiingereza inabidi a "force king" tu. Sasa kwa nini hakutumia Kiswahili?
 
Alipata daraja gani katika degree yake, etc. Kwetu sisi sifa pekee tunayoing'ang'ania ni: amekuwa kada miaka mingapi, ana ujanjaujanja kiasi gani.


Madaraja kwenye degree hayaonyeshi uwezo wa mtu. Kuna watu wana madaraja ya kutisha lakini bado mbumbumbu. Hiyo siyo point.

Matokeo yake tunao watu kwenye siasa hawajawahi hata kuandika kurasa mbili kwa kujitegemea, na wengine kibao wamejipachika madegree na tumekazania kuwaita....

Hapa umelonga. kuna watu kibao wamejipachika madegree fake wako serikalini. Eti wanajiita ma doctor.

Sasa huo uwezo wa kuongea sensible and constructively wautoe wapi? Hapo ukiawauliza wangapi wana kitabu hata kimoja cha public speaking, nitashangaa watakaonyanyua mikono wakifika watano!!

Hapa una maana kusoma vitabu au kuandika. kama kusoma wanasiasa wa bongo hawasaomi kabisaaaaaaaaa. wewe unategemea mtu kama Mrema asome? Kama kuandika vitabu hapo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu.


Tubadilike, tujali akili na competence hata kwenye siasa kwa sababu wanapoboronga tunaumbuka sote, sio wao tu!

Ni kweli. lakini siyo akili tu, hata busara na maarifa vilevile. kuna watu wana akili sana lakini kama Mugabe. unaona anachofanya?
 
Sasa mzee mwenzangu hayo unayoyasema kama huwezi kuyasema vizuri tutayasikia na kuyaelewa kweli?

Kitila tuache kuspin mambo hapa bana.... imeshatokea wapi mzungu akaambiwa kwamba ni foolish kwa kuongea kiswahili kibovu? Niambie ni mzungu gani ameshaambiwa kwamba kama hajui kiswahili akae kimya..zaidi ya kumsifia na kumuincourage kwamba aendelee kujifunza? Infact tunaona fahari hata wakiongea kiswahili kibovu/broken! Hivi niambie ingekuwa ni mzungu kaongea acha hata kiswahili, tuseme kaongea ENGLISH yenyewe ambayo ni broken..kweli angetuhumiwa kama bwana Jakaya hapa mnavyomsulubu? SIJAWAHI kuona mzungu anasulubiwa kwa kuongea broken english! Ni sisi waafrika tunaowapima wenzetu kwamba hawajui kiingereza safi!

Lets be honest to our selves here. Wengi tunajua viongozi wa Asia especially wanavyoongea kiingereza kibovu (hata UN SG Ban Ki-Moon) nani alishawashikia bango? Yes Putin au Sakorzy na wengine wanaongea kirusi au French si kwa sababu hawajui kiingereza, ila hawataki! Juzi tumemuona Dalai Lama akiwa Capitol Hill aliongea kizungu kibovu mno (na aliconfess kwa Bush kwamba his english is very poor!)..who took an issue with him? au unataka kuniambia waliokuwepo akina Nancy Pelosi na Bush hawakumuelewa? au ujumbe wake haukufika...?

People lets be real tuache hizi past mentality ambazo tumezishuhudia kwa wazee wetu... kuassociate english na uelewa au elitism ....if you can speak good english good for you! But its disengenious kumcrucify JK kwa hili..lets deal with him pale inapotakiwa!

Na sidhani kam unaweza kunyimwa msaada na G8 au yeyote yule..kwa sababu hukuongea kiingereza kizuri! Inkiwa hivyo basi we will be in trouble..maana wengine kiinglish tumekutana nacho darasani....na tulisoma shule za sikinde ambako hata kilugha kinatumika..sasa nikiwa rais one day..nisiongee kiinglish..eti nitachapia? Dunia ina lugha nyingi sana, kwa approach yenu kwamba tuongee kwa ufasaha kila lugha tunayotaka kuongea..tutashindwa!
 
You totally missed the boat, and the rescue chopper found you unattentive.

Tumeongea kuwa lugha ni tip of the iceberg tu hapa, pamoja na kwamba lugha ina tabia ya ku reveal vitu vikubwa vinavyokuwa ndani ya kichwa, tunamuachia Kikwete kuhusu lugha kama mtu wa nchi ambayo watu wake wengi hawajui Kiingereza.

Hata ukienda kwenye decision making process yake kuhusu atumie lugha gani unaona ana a poor decision making process.

Anajua Kiswahili na Kiingereza, Kiswahili anakijua vizuri zaidi ya Kiingereza na anaweza kutafsiriwa.Lakini bado akaamua kuongea Kiingereza asichokijua vizuri.

Unaona hapa kuna poor language skills, poor communication skills and poor decision making.
Utawezaje kumchambua mtu ambaye hata haeleweki anasemaje? Anakwambia "We view differently and you view differently" Yaani simplistic and grammatically ugly like that?

Yaani hapo unaona kabisa Kikwete kuna concepts anashindwa ku communicate katika Kiingereza inabidi a "force king" tu. Sasa kwa nini hakutumia Kiswahili?


Mimi siyo mwalimu na kiinglish changu ni cha shule ya sikinde......lakini kama mnamcrucify mtukufu Raisi wa Jamhuri kwa poor decision making-so be it! namseme hivyo... ila siyo kusema jamaa ana kiingereza kibovu!
 
Sasa, KB, misimamo ya ajabuajabu ni ipi katika hiyo statement, hasa kuhusu Zimbabwe? Ulitaka waseme Mugabe ni Rais halali wa Zimbabwe wakati siyo?

Cha kushangaa hapo ni jinsi Bush anavyomchangamkia JK, kuna kitu hapa!!?

Mkuu Kitila,


Ya kushangaza ni mengi.
  • Urafiki wao tunaufurahia, lakini kama tuwajuavyo wenzetu, hakuna free lunch. Tunachotakiwa ni kuchunguza tu kuwa tunachotakiwa kulipa ni kitu gani?
PRESIDENT BUSH: Thank you.

PRESIDENT KIKWETE:

Well, of course we see eye-to-eye on many international issues. Of course we have discussed the issue of Zimbabwe, where we understand your concerns. But I want to assure you that the concerns that you have expressed are indeed the concerns of many of us in the African continent. At the last summit of the African Union, many leaders expressed their dissatisfaction at the way things happened. But also we agreed on the way forward.

The only area that we may differ is on the way forward. You see differently, but for us in Africa we see differently. But I think again, there is still room for us for discussions. We are saying no party can govern alone in Zimbabwe, and therefore the parties have to work together to come up to -- to come out, work together, in a government, and then look at the future of their country together.

So this is the way we see it. I don't think there is much, the divergence there. You would have liked to see us do a bit -- some things, we would have liked to see you do some things. But we'll continue to discuss all these issues, and as friends at the end of the day we'll come to an understanding.

  • Hiyo way forward wanayoitaka wao akina Bush ambayo tunatofautiana nao, AU, sijui ni ipi. Lakini moja tu tujualo ni kuwa TZ ina msimamo wake tofauti na wa AU.
Kwa hiyo anachosema hapo mkuu JK, anatuchanganya maana, hapo anasema kama vile anaongelea msimamo wa Africa wakati TZ tulishatoa matamko yetu mbalimbali yote yakiwa tofauti na AU, kuanzia nguvu za kijeshi hadi kutomtambua Mugabe.
PRESIDENT BUSH:

The other thing we discussed in the -- we discussed a lot of issues with the African leaders here in the G8, but one, of course, was Zimbabwe. You know, I care deeply about the people of Zimbabwe. I am extremely disappointed in the elections, which I labeled a "sham" election. And we, of course, listened very carefully. And President Kikwete, as the head of the AU, has been very involved in this issue. I'm not going to put words in his mouth, he can express his own self, but it was -- this issue of Zimbabwe took a fair amount of time --

  • Hapo kwenye kigugumizi cha Bush nafikiri kuna manono zaidi aliyotaka kusema. Hayo hatutayajua hadharani ila tutaona vitendo na matokeo yake tu. Bado nafikiri siasa yetu ya nje hivi sasa imetekwa nyara na vyandarua vya kuzuia mbu.
Keep on watching, and remember No Free Lunch.
 
Kitila tuache kuspin mambo hapa bana.... imeshatokea wapi mzungu akaambiwa kwamba ni foolish kwa kuongea kiswahili kibovu? Niambie ni mzungu gani ameshaambiwa kwamba kama hajui kiswahili akae kimya..zaidi ya kumsifia na kumuincourage kwamba aendelee kujifunza? Infact tunaona fahari hata wakiongea kiswahili kibovu/broken! Hivi niambie ingekuwa ni mzungu kaongea acha hata kiswahili, tuseme kaongea ENGLISH yenyewe ambayo ni broken..kweli angetuhumiwa kama bwana Jakaya hapa mnavyomsulubu? SIJAWAHI kuona mzungu anasulubiwa kwa kuongea broken english! Ni sisi waafrika tunaowapima wenzetu kwamba hawajui kiingereza safi!

Lets be honest to our selves here. Wengi tunajua viongozi wa Asia especially wanavyoongea kiingereza kibovu (hata UN SG Ban Ki-Moon) nani alishawashikia bango? Yes Putin au Sakorzy na wengine wanaongea kirusi au French si kwa sababu hawajui kiingereza, ila hawataki! Juzi tumemuona Dalai Lama akiwa Capitol Hill aliongea kizungu kibovu mno (na aliconfess kwa Bush kwamba his english is very poor!)..who took an issue with him? au unataka kuniambia waliokuwepo akina Nancy Pelosi na Bush hawakumuelewa? au ujumbe wake haukufika...?

People lets be real tuache hizi past mentality ambazo tumezishuhudia kwa wazee wetu... kuassociate english na uelewa au elitism ....if you can speak good english good for you! But its disengenious kumcrucify JK kwa hili..lets deal with him pale inapotakiwa!

Na sidhani kam unaweza kunyimwa msaada na G8 au yeyote yule..kwa sababu hukuongea kiingereza kizuri! Inkiwa hivyo basi we will be in trouble..maana wengine kiinglish tumekutana nacho darasani....na tulisoma shule za sikinde ambako hata kilugha kinatumika..sasa nikiwa rais one day..nisiongee kiinglish..eti nitachapia? Dunia ina lugha nyingi sana, kwa approach yenu kwamba tuongee kwa ufasaha kila lugha tunayotaka kuongea..tutashindwa!

Papa Benedict huyo kaja Marekani miezi michache iliyopita...katoa hotuba kibao....kiingereza chake kibovu....lakini hakuna aliyemshikia bango. Tena wenyewe wanafurahi kichizi wanapomwona anazungumza kiingereza....
 
Na huyu ndiye aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na diplomasia kwa miaka kumi ya Mkapa! Na huyu ndiye Vasco da Gama!.........That is where and how we miss Salim - if one insists that CCM derserved to win in 2005.
 
Na huyu ndiye aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na diplomasia kwa miaka kumi ya Mkapa! Na huyu ndiye Vasco da Gama!.........That is where and how we miss Salim - if one insists that CCM derserved to win in 2005.

Haki.tupu,
Hapo umesema. Salim kwa lugha tu na kufafanua issues kweli tulikuwa na foreign minister. Hata JKN alikuwa akiwatoa vijampo akina Henry Kissinger. Acha bwana. Kuna standard ambayo mbali na Mkapa (ukiweka kando ufisadi) Tanzania ilikuwa imeiweka katika mambo ya foreign relations.
 
Ukweli ni kwamba tumepayuka kwa ajili ya masters, na Mugabe mpaka leo bado anatustahi wabongo, ingawa Mugabe according to the dataz aliwahi kumpa vipande vizito sana Mama Tibaijuka uso kwa uso, mpaka akalia machozi mbele ya watu kule zimbabwe,

Mugabe ana makosa yake, lakini haya-amount kwa sisi Tanzania the God fathers wa Zimbabwe kuwaa-abandon katika kipindi hiki kigumu sana kwao, kwa sababu ya vipande vichache vya silver, hawa hawa wanaomsaidia Mushaarafu kuiba kura kule Pakistan, leo wanatuambia kuwa ni makosa kwa Mugabe kuiba kura Zimbabwe, halafu cha kushangaza wao wala sio wanachama wa ile Court ya The Hague WHY? Kwa sababu wanajua kuwa huko kwao wana the Mugabes kibao na sisi Tanzania wala hatuwezi kuulizia hilo,

Hii ni aibu kubwa sana kwetu kama waa-Afrika!
 
Back
Top Bottom