Wakuu naomba mnitoe tongotongo. Ni mara nyingi huwa namsikia spika akizungumzia busara za kiti wakati wa maamuzi ya mambo muhimu. Nachotaka kufahamu ni kama kanuni zinaruhusu spika kuamua vile anavyoona nivema ama la.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.