Niko kwenye mafungo na Kondoo wachache kuombea taifa zidi ya uchakachuaji! Sina update za kwa mama Leticia na kule kwa Fineas Magesa! Naombeni mwenye fununu!
Nilimuona huyu dada wakati akigombea uchaguzi mdogo, alikuwa mchovu mchovu fulani, hajiamini, wala hana uwezo wa kujieleza. Aliposhinda tuu, akachenge, soap soap kwa sana, ndipo nikamuona na hidden beauty yake she is humble, leo namtafuta kwa simu, simu yako iko off all the time, hiyo ni dalili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.