Mradi umesha kufa kabla hata haujaanza kazi. Aibu kuu hii sijui tutaificha wapi?brt ni moja ya kumbukumbu nzuri itakayoachwa na serekali ya awamu ya nne.
Big up jk.
subiri uone kizunguzungu chake it will not be any close to that, mradi huo utatangazwa sana, watau watatfuta sifa na utafanya kazi kwa miaka miwili (maximum) halafu utakufa, at least tutabakiwa na barabara, that is at least a good thing for the city
brt ni moja ya kumbukumbu nzuri itakayoachwa na serekali ya awamu ya nne.
Big up jk.
kuwa na mawazo chanya mkuu ...hayo mawazo hasi hayana faida yoyote
Mradi umesha kufa kabla hata haujaanza kazi. Aibu kuu hii sijui tutaificha wapi?
Mradi mkubwa unaojengwa wa mabasi yaendayo kasi utabadilisha kabisa sura ya jiji la Dar es Salaam, na kuwa jiji la kupendeza.
Angalia michoro ya barabara za mradi utakavyokuwa baada ya kukamilika:-
1) ITDP | Institute for Transportation and Development Policy : What We Do : Dar es Salaam
2) BRT
brt ni moja ya kumbukumbu nzuri itakayoachwa na serekali ya awamu ya nne.
Big up jk.
Wanasubiri kipindi cha uchaguzi wajinadi na huo mradi kwenye kampeni zao.
Ugonjwa mkubwa wa watanzania ni kusahau. Mradi huu ulibuniwa tangu mwaka 1996 na Sykes aliwahi kuwa CEO wake baada ya kuacha umeya wa jiji la dar....wakati wa utawala wa mkapa. Vingi vinavyojengwa sasa ni plans za awamu ya tatu.
Umeshazoeleka mpinga maendeleo, miradi hutunzwa na wananchi, huko unakoona miradi inadumu wananchi wake wametungiwa sheria za hatari zikiletwa huku maandamano lzmsubiri uone kizunguzungu chake it will not be any close to that, mradi huo utatangazwa sana, watau watatfuta sifa na utafanya kazi kwa miaka miwili (maximum) halafu utakufa, at least tutabakiwa na barabara, that is at least a good thing for the city
Mbona kila mtu analifanya hilo, nilisomesha watoo buku jero, nilijenga daraja, nilichimba kisima, hata obama anasema aliyoyafanya miaka minne yk, kumaliza vita nyingi, kumuangusha Hatimae kumuua Col, ni kawaida
Mkuu, uwiano wa muda na thamani ya deni hili ni lazima uangalie vitu kama thamani ya shilingi wakati tunakopeshwa mpaka sasa, hata wahisani wanatupa hela zakufadhili miradi wakiamini katika miradi hiyo itachochea maendeleo na pengine hata ulipaji wa madeni yao bila kusahau muda wa utumiaji na uchakavu wa miradi hiyo. Ndio maana miradi mingi ilibuniwa katika awamu ya tatu ila utekelezaji wake umekua katika awamu ya nne na muda bado unakua kigezo kikuu hapa!Tatizo kubwa kwa kikwete ni Tofauti.Ratio ya maendeleo na muda aliokaa madarakani haviendani, Usisahau pia atakuwa ameliacha Taifa na mzigo mkubwa wa madeni 14 trilion.ingawa hiyo miradi mingi ya maendeleo kama madaraja na barabara ina more than 50% ya wafadhili.Ndani ya kipindi chake cha utawala 7yrs tuu deni la taifa limeongezeka zaidi ya nusu ya lile alilolikuta nyuma ya watawala wenzake.
Umeshazoeleka mpinga maendeleo, miradi hutunzwa na wananchi, huko unakoona miradi inadumu wananchi wake wametungiwa sheria za hatari zikiletwa huku maandamano lzm