peoples power
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 475
- 100
Abiria wanao safiri na greenstar kutoka Dar kwenda Mwanza mpaka muda huwa wamekwama Chalinze polisi halafu hakuna juhudi zozote zinazofanya kuwakwamua hapo.Kama biashara ya wakati ule ya Scandinavia iliwashinda sijui kama mtaweza zama hizi.